Rabonn
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 5,789
- 11,106
Ahahahahah..Rafikiiiii...I hate it...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahahahah..Rafikiiiii...I hate it...
Dah hii inachosha sanaI love you as friend
au nikuulize kitu"Babe nikuambie kitu" enzi zangu.zilikua zinakata stimu kabisa
Sasa mkikutana online kwani ndio mtagegedana online?Wanao kutana online unawasaidiaje mkuu..
Mkuu inaonekana huyu mwanamke ulimpenda isivyo kawaida......pole sana..Siku ya kwanza kutongoza:
Kuna dem nilimtongoza kwa njia hyo ya sms ilkua mida ya usiku ile nmetuma text haikupita hata dakika moja text ikaingia bwana we nilizima nikajitupa kitandani usiku siku lala natafakari ni jibu gani kanijibu basi ilpo fika asubuhi nikaamka mapema nikafanya usafi,nikaoga nikanywa chai nikapanda kitandani ili nisome litakua jibu gani huku mapigo ya moyo yakienda mbio kufungua text nakuta "ndugu mteja kifurushi chako cha siku kimekwisha muda wake" nilighafirika sana
Alisikika jamaa mmoja
Hahahah.1.Ommy sizioni siku zangu,
2.hivi mara ya mwisho tumeduu unauhakika ulimwagia nje kweli?
3. Beby baba amesema nirudi nilikokuwa hivi nipo njian nakuja geto kwako
Hatari saana.[emoji23][emoji23][emoji23]ukikumbuka ulimwaga ndani..