Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]Hajambo kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]Hajambo kabisa
HayaWe endelea kumpenda mpendwa wako
Nisamehe mimi nilifanya kama utani lakiniWe endelea kumpenda mpendwa wako
Umeongeza katika list...? [emoji54][emoji54][emoji54]Mpendwa wangu
Afadhali kama unasikia maneno ya wazee... UtabarikiwaSawa babu ake shunie
Nna nini mjukuu wangu?Khaaaa
Ww babu
Marhabaa..... Tumebeba ndoo mjukuu wangu.... TupongezaneShikamooni
Mbona nimeacha siku nyingiNdio uache sasa
Si Tumekubaliana unaacha ugomvi ?Mwenyewe
Wewe nawe umeanza kumuiga dadaake Shunie eeh? Angalia Usije ukachikuliwa na T..... [emoji54][emoji54][emoji54]Mwenyewe
Wacha umbeya na wewe... Utasutwa kama babu yake Shunie!Napita tu mm mpendwa ake Sakayo[emoji124] [emoji124]
Sasa ni wivu au!!? Kama ulikuwa hutaki kufatwa ulifuatilia nn mambo ya watu?Sitaki kufatwa mfate mpendwa wako huko
Usikate tamaa.... Mbembeleze bembeleze hivyo hivyo.Mbona ukali!?
Mjukuu wangu Karibu utanunua Range Rover ya 2018 kwa commissionMzima mm mpendwa wa dada habari ya wewe
Mjukuu wangu babu yako kafunga unajua?Nilitaka kuuliza labda wa mashavu
Si ulianza wewe kufata lkn?Mambo ya kufatana yanatoka wap
Umeelewa sasa ni Sakayo gani anaeulizwa eeh!!!? [emoji41][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Mkuwe wawili eeh?Mungu alisema tupendanee
Labda amuache kwanza kama anataka kuja kwako [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]We endelea kumpenda mpendwa wako