Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Khaaaa yameanza lini jamani nawe una mababe wangapi lakiniunamjua huyo baby wangu??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Khaaaa yameanza lini jamani nawe una mababe wangapi lakiniunamjua huyo baby wangu??
Ma mkweBa mkwe
Mkuu unatoa tu hongeraThe ship is continuing to sail
Hongereni
Ni nini hiko unafanya jamaniMa mkwe
siku nyingi sanKhaaaa yameanza lini jamani nawe una mababe wangapi lakini
Ni utani kidogo tu mamaNi nini hiko unafanya jamani
He he sijui ndio kuadimika kwangu jf kwahiyo hatimaye naye amepata mbebez jamani na ivuga vipiiii jamanisiku nyingi san
Mh ba mkweNi utani kidogo tu mama
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kaoge maji ya bahariWenye gundu la bundi tutaendelea kuwa wapenzi watazamaji
Pole sana.Natamani ungekuwepo muda huu,sasa hivi ninapokuangalia machoni naona njia yaulimwengu ninayotaka niwepo
walisema mapenzi haya hutokea mara moja lakini sikuamini mpaka muda nilipoona nimekupenda mwifwa wangu!
Kama nimepata raha maishani mwangu ni kitu kimoja ningetaka kukibadilisha, ningekuwa nimekutana nawe tangu zamani.Mara zote unajua kunifanya nitabasamu hubby wangu hata wakati nimehuzunika.
Hakuna mwanaume duniani anayeweza kunielewa vizuri kama unavyonielewa wewe kipenzi changu,changuo langu mimi namwanaume pekee wamaisha yangu,nahisi kukukumbatia kila wakati ninapoongea nawe,najisikia salama na amani ninapokuwa karibu yako.Nafurahia mapenzi yako zaidi kuliko mtu yoyote humu duniani,siwezi kufikiria maisha yangu bila wewe yatakuwaje,marafiki zangu wananionea gere kuwa na mwanaume kama wewe unayejua nini thamani ya mwanamke!
Sifahamu umeniwekaje moyoni mwako lakini ninafurahi umenifanya hivyo na matendo yangu pekee yanaweza kuonyesha nijinsi gani ninavyokupenda hubby wangu@mwifwa!nitakupenda leo na hata kesho Ahera
uyo tukogo nae sikunyingi ata kabla hujaadimika...kwaiyo usiniambia alikua na ww tena??He he sijui ndio kuadimika kwangu jf kwahiyo hatimaye naye amepata mbebez jamani na ivuga vipiiii jamani
Nilipo uku kakonko ata maji ya Dasani tu hamna[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kaoge maji ya bahari
Kweli kabisa hata sio ukorofi ule wa zamaniMh ba mkwe