mshipa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 12,253
- 22,843
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] alafu Shunie tunaomba utuache[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwendraaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] alafu Shunie tunaomba utuache[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwendraaaa
HahahaWoooooooozeeeeeeeer ngoja bae wako akuje
Hapa Shunie moyo umelia paaaaaaWow....
I know my mshipa[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]
Rangi ya mtume + mashavu manene nikapata jibuSema kweli ba mkwe wangu ulijuaje ni mm jamani
ni hivi karibuni hautauwahi.... au nitarudia sherehe kwa ajili yenuKhaaaa ubarikio tena kwahiyo na ubatizo umepita
WoyooooMfyuuuuuu mko mmepangwa huko mpaka mnajutraaaaa
HahahaAcha kuzusha unamtisha mchuchu wangu ujue
Bonge[emoji23] [emoji23] [emoji23] bae yupi huyo
Khaaa sio mm yule wa juzi aliyewishiwa bday [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ba mkwe bana na mzigua kuna mtu tulikuwa tunamsemaNilihisi tu nilivyoona mashavu manene nika compare na maneno ya Mzigua90 kuhusu mashavu nikazidisha na rangi ya mtume nikapata jibu.
Hahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu wanapata hasira za kukulwa mfyuuuuuuu waendeleee kukulwa hivyohivyo kimyakimya
AiseeeHahhaha eti mchuchu acha kumdanganya dada angu
Shem vepeKhaaaaaaaa
Karibu Mrs JrBwana yesu asifiwe ameeeen
Wow....
I know my mshipa[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] alafu Shunie tunaomba utuache
Siwezi kuwaacha sababu niko naona unamwaribu dada anguHapa Shunie moyo umelia paaaaaa
Jamani.... Uko wapi jamaniimiss you too... nipo bhana nakuwepo uwe unanitembelea
Mambo ni [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91]Natamani ungekuwepo muda huu, sasa hivi ninapokuangalia machoni naona njia ya ulimwengu ninayotaka niwepo
Walisema mapenzi haya hutokea mara moja lakini sikuamini mpaka muda nilipoona nimekupenda Mwifwa wangu!
Kama nimepata raha maishani mwangu ni kitu kimoja ningetaka kukibadilisha, ningekuwa nimekutana nawe tangu zamani. Mara zote unajua kunifanya nitabasamu hubby wangu hata wakati nimehuzunika.
Hakuna mwanaume duniani anayeweza kunielewa vizuri kama unavyonielewa wewe kipenzi changu, changuo langu mimi na mwanaume pekee wa maisha yangu, nahisi kukukumbatia kila wakati ninapoongea nawe,najisikia salama na amani ninapokuwa karibu yako. Nafurahia mapenzi yako zaidi kuliko mtu yoyote humu duniani, siwezi kufikiria maisha yangu bila wewe yatakuwaje, marafiki zangu wananionea gere kuwa na mwanaume kama wewe unayejua nini thamani ya mwanamke!
Sifahamu umeniwekaje moyoni mwako lakini ninafurahi umenifanya hivyo na matendo yangu pekee yanaweza kuonyesha nijinsi gani ninavyokupenda hubby wangu Mwifwa !Nitakupenda leo na hata kesho Ahera
Akikulalia wafwaaaa dadaHahaha
Alivyo kibonge atanimalizaaa
Unataka ufanywe mbwa koko eeehUko unamjua mwenyewe jamani ni hapo utakapombadilikia dada angu tunaandamana
Khaaa mm jamani mbona sina mashavu sio mm huyoRangi ya mtume + mashavu manene nikapata jibu