mzee wa kasumba
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 1,440
- 2,952
[emoji3][emoji3][emoji3] kuna dingi ananitafuta akinidaka ananiuwaWe fala hama mji utauliwa..[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwisha habari yako..😅[emoji3][emoji3][emoji3] kuna dingi ananitafuta akinidaka ananiuwa
Maana mmama kakolea
MaaamaeKwisha habari yako..[emoji28]
Christmas ya jamaa inaishia kwako hama mji..😅Maaamae
[emoji3][emoji3][emoji3] mbona kama wazidi kuntisha mkuu... Em ngojaChristmas ya jamaa inaishia kwako hama mji..[emoji28]
Serious bado upo ndani ya huu mji!!! Hebu ngoja..[emoji3][emoji3][emoji3] mbona kama wazidi kuntisha mkuu... Em ngoja
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Serious bado upo ndani ya huu mji!!! Hebu ngoja..
Bibie hatujapokea Mshahara bado na Bosi Kasafiri, hivyo ukija Kwangu Kesho kula Krismasi hakikisha Umeshiba utokako na Nauli pia unayo sawa?Twende kazi leo tujue kama text huwaga zinafananaga angalau kwa watu kadhaa ama kuna watu wanatumiwaga text za kipekee, kila mtu angalau aseme text yake ya mwisho kuingia kwenye simu inasemaje iwe kwenye message za kawaida au Whatsap ili mradi iwe ya mwisho tu
Mimi yangu inasema " i miss you "