Message yako ya mwisho kwenye simu inasemaje

Hivi Manjit! Ulimwagia ndani kweli!!![emoji837]
 
Umefikia kikomo au umesitisha malipo ya kadri unavyotumia. Tafadhali jiunge na bando lingine au ruhusu matumizi,Piga *149*01#>11 -Huduma Xtra>Matumizi bla Bando
 
"Hvi ww mwanaume kuna kitu unantafta eeh"

Nilitoa ahadi ya kununua nguo za watoto sas mishe zangu zimefeli [emoji134][emoji134]
 
OFA! pata gawio hadi la shi 10000 ukipokea kuanzia 200000 kutoka au zaidi kutoka benki yyte hhaaaa
 
Bibie hatujapokea Mshahara bado na Bosi Kasafiri, hivyo ukija Kwangu Kesho kula Krismasi hakikisha Umeshiba utokako na Nauli pia unayo sawa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…