Message za uchaguzi sasa zinakera

Message za uchaguzi sasa zinakera

Tman900

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2017
Posts
589
Reaction score
1,897
Kila Dakika system ina unatuma Sms Ya Uchaguzi Imekua kero. Mbona kama Hamjiamini Mshasema Watu Wame elewa.

Wanaotaka watakuja na wasiotaka mtaona kimya wanaendelea na shughuli zao.

Note: "Hamjiamini na Mnachokifanya"
 
tatizo hamuwatukani mimi hata moja hawajanitumia wanajua kabisa dakika mbili mbele nafikiri wamewaweka wateja wao ktk mafungu kama nyanya mf: wapole,wabishi,wakarimu,wa milembe,wa milembe pro max so wanatuma sms kutokana na mafungu labda!
 
tatizo hamuwatukani mimi hata moja hawajanitumia wanajua kabisa dakika mbili mbele nafikiri wamewaweka wateja wao ktk mafungu kama nyanya mf: wapole,wabishi,wakarimu,wa milembe,wa milembe pro max so wanatuma sms kutokana na mafungu labda!
Dah
 
Kila Dakika system ina unatuma Sms Ya Uchaguzi Imekua kero. Mbona kama Hamjiamini Mshasema Watu Wame elewa.

Wanaotaka watakuja na wasiotaka mtaona kimya wanaendelea na shughuli zao.

Note: "Hamjiamini na Mnachokifanya"
Hawaamini macho yao. Mwitikio wa watu hauendani mategemeo yao hadi wanakwaza watu.
 
Siku Elon akifunga 🌟 links......huu ujinga utaisha ,kwenye mikopo yao wahawakutumii msg yaani unafatilia mpaka kiatu kinaisha ila kuwaweka pale madarakani wanakukumbusha stupidity CCM.....
 
Back
Top Bottom