Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dahtatizo hamuwatukani mimi hata moja hawajanitumia wanajua kabisa dakika mbili mbele nafikiri wamewaweka wateja wao ktk mafungu kama nyanya mf: wapole,wabishi,wakarimu,wa milembe,wa milembe pro max so wanatuma sms kutokana na mafungu labda!
Hawaamini macho yao. Mwitikio wa watu hauendani mategemeo yao hadi wanakwaza watu.Kila Dakika system ina unatuma Sms Ya Uchaguzi Imekua kero. Mbona kama Hamjiamini Mshasema Watu Wame elewa.
Wanaotaka watakuja na wasiotaka mtaona kimya wanaendelea na shughuli zao.
Note: "Hamjiamini na Mnachokifanya"