Messi aitunishia misuli Serikali ya Israel, Serikali yafyata


Wayahudi wameanza kutawanywa miaka mingi tu kabla ya Yesu. Usiuchekelee ugomvi waliokuwa nao na Mungu wao. Wagombanao ndio wapatanao. Na Mungu wao amewasaidia sana hata katika historia yao ya hivi karibuni. Utawanyiko huo ulikwisha baada ya Mungu wao kuamua kuwasamehe na kuwarudisha nchini mwao. Hawakuanza mwaka 1948 kurudi kwao. Walianza kurudi kupitia akina Zerrubabel (535 BC) na Ezra (458 BC) walipokuja kujenga Hekalu erusalem. Baadaye Nehemeiah alirudi kujenga ukuta wa Jiji la Yerusalemu (445 BC). Kwa miaka mia toka 166 BC hadi 63 BC walikuwa huru wakijitawala wenyewe. Walikataa kukandamizwa na Antioko Epiphanes (1V) wa Syria (Myunani). Unasema hawajawahi kuwa na nchi! Rejea historia ya Familia ya Judas Maccabee ama Wamakabayo ndipo utaelewa moyo wa kizalendo walio nao akina Netanyahu akina Ehud Barak na zaidi sana Bibi Golda Meir. Walirudi siku nyingi hata wakaa huru ila wakashambuliwa tena wakapelekwa uhamishomi tena. Sasa hawakubali tena kunyanyaswa. Jaribu uone.
 
Kwani waisrael ni dini gani?
Uyahudi ama Judaism. Kifupi dini ya Kiyahudi. Kwa maana kuwa Uyahudi ama Israeli kama taifa liliundwa kwa kuizunguka imani yao na agano la kidini na Mungu wao. Walipewa sheria ya sikukuu mbali mbali na miandamo ya miezi, sheria za dhambi na utakaso wa dhambi na sheria zilizosimamia utaratibu wote wa kijamii (Sacrificial Code, Ceremonial Code na Social code).
 

Mayahudi wanamkubali Yesu/Nabii Issa?? Wanaukubali ukristo pia?
 

Hii dini yenu ni cancer kwa ulimwengu,yule papa aliyeianzisha alileta balaa duniani.Maandiko matakatifu,torati yote inaonyesha Mwenyezi Mungu akiwapa ardhi na kueleza mipaka ya Israel wewe mvaa makobazi unakuja hapa kutudanganya hawa watu hawana nchi??Ama kweli Shetani ni nyoko!Ni baba wa uongo
 
Mayahudi wanamkubali Yesu/Nabii Issa?? Wanaukubali ukristo pia?
Wapo wanaomkubali Yesu siku hizi. Hao wanaitwa " Messianic Jews." Wasingeukubali Ukristo matukio yote ya Kihistoria ya Kikristo yasingehifadhiwa na watu wasingeruhusiwa kwenda huko kutalii. Mwaka fulani "ultra Jews" walilichoma kanisa la Kikristo Evangelical Alliance Church of the Holy Land katika Mtaa wa Manabii - Neviim Street mjini Yersalemu. Serikali ililijenga upya kanisa hilo.
 
Mkuu,Papa gani alianzisha balaa!?Inaweza kuwa torati na Quran inaeleza kuhama kwa Ibrahim kutoka Mesolopania kwenda katika nchi ya Canaan,lakini Cannan sio nchi inayoitwa Israel kwa sasa,..

Cannan ni eneo kubwa lenye nchi nyingi "Canaan included what today are Lebanon, Israel, northwestern Jordan, and some western areas of Syria. According to archaeologist Jonathan N. Tubb, "Ammonites, "...

Syria,Lebanon,Jordan,,na Palestina(nchi inayoitwa Israel kwa sasa),kwa hiyo Ibrahim hakupewa nchi,kotoka na maaandiko ya Quran na Tourat,Mungu alimwamrisha Ibrahim aende Cannan,Cannan ni nchi zilizozitajwa hapo juu na mtaalamu wa mambo ya uchimbuaji Ardhi kuhusu mambo ya kale(archaeologist)…...,

Ibrahim(Abraham) hakuambiwa aende Israel kwasababu kulikuwa hakuna nchi inaitwa Israel..Israel imeundwa baada ya Waingereza kuwaibia Ardhi yao Wapalestina mwaka 1948

Ibrahim(Abraham) kama wakimbizi angelitua sehemu yoyote katika hizo nchi zilizotajwa hapo juu..Wayahudi ni wahangakaikaji tu,na wataendelea kuhangaika kwa vile Mungu amewaapiza,hawa watu wamempinga Mungu wakati huo na wanaendelea kumpinga mpaka sasa.,Iko siku wataangamia tu
 
Yusufu alikuwa waziri mkuu wa misri? πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ nimecheka sana
Cheka tu, lakini ndo ukweli huo. Aliuzwa kwa wafanya biashara na ndugu zake, mke wa mfanya biashara Potifa, akamtamani, akataka ngono, Yusuph kakataa, mama kamtengenezea kesi akafungwa.

Akiwa gerezani, Farao akaota ndoto, habari za masuke saba yaliyonona na yaliyodhoofu, waganga wote, wanajimu wote na watu wenye hekima wakashindwa kumpa tofasiri, ikabidi itangazwe, na Yusuph akatoa tofasiri akiwa gerezani.

Baada ya kutoa fasiri ya ndoto ya Farao, farao akaagizwa aachiwe mara moja, apelekwe ikulu kwake, akampa kazi ya kusimamia shuguli zote za serikali, ndiye akawa mkuu baada ya farao, akasaidia kuitunza misri kwa mika zaidi ya 14 kwa uongozi wake, na ndugu zake wakahama toka Israel, wakahamia Misri kwa sababu ya njaa kali, ndo wakaanza kuzaliana kwa kasi ya ajabu.

Hizi zote ni historia ambazo ziko wazi, ukisoma biblia zipo tu.

Utacheka kwa uboya wako ukilinganisha uislam na uyahudi, ni mbingu na ardhi nakuhakikishia. Ila mwisho wa Yote ni Ukristo, hapo ndo Mungu yupo kwa sasa.

Hata kwenye Qur'an, huyo kitombi wenu katajwa mara nne tu, Yesu katajwa mara nyingi, na mama yake aliyemzaa zaidi ya mara 34. Mtafte sheikh Hamza akupe elimu, uachane na kufuga majini
 
Usijichanganye Mkuu,Wayahudi hawajawahi kuwa na nchi na ndio maana wamesambaa dunia kote,Urusi,Poland,Ujarumani Ukraine na nchi nyengine duniani wamejaa hawa jamaa,kama wangelikuwa na nchi basi wangelibakia sehemu moja
Ha ha ha yaani mfalme Saul, Daudi na Suleiman to mention few walikuwa wafalme bila kuwa na nchi? Hata vita maarufu ya Daud na Goliath hujui walikuwa wanapigania nini? Ama kweli islam ni disgrace[emoji30] [emoji27]
 
Wakristo nyinyi Maisha yote mnasoma kitabu chenu kinyume nyume,hamfahamu yale yalioandikwa kwenye Biblia,Mtume wa Mwisho kupelekewa Wayahudi ni Isa(Yesu),Wayahudi hawamkubali Yesu wanamuona tapeli tu,dini ya ki "Hebrew" hawamtambui Yesu,sasa Mungu kawasamehe lini,wakati kila mtume waliopelekewa na Mungu wamempinga!??
 
Hoja za warabu weusi hata wa huko mbele, mi sijawahi kuziona. Hoja za wayahudi ziko wazi kabisa. Historia yao hutumii nguvu kuipata, ukisoma vitabu vitano vya Musa unaipata yote.

Inawezekanaje wawepo, wawe na ufalme lakini wakose ardhi? Jambo geni sana hili
 
Ha ha ha yaani mfalme Saul, Daudi na Suleiman to mention few walikuwa wafalme bila kuwa na nchi? Hata vita maarufu ya Daud na Goliath hujui walikuwa wanapigania nini? Ama kweli islam ni disgrace[emoji30] [emoji27]
Hahahaa kaka Saul aka Paul kawa mfalme lini!?Soul kazaliwa Jerusalem wakati wa utawalawa wa Rumi(Roman Empire),Saul alikuwa mnyapara kazi yake ilikuwa kuwasaidia warumi kuwasaka wafuasi wa Yesu na kuwauwa,...kwani Solomon(Suleiman) alikuwa anaishi Israel!
 
Yaani Mungu awape hekima ya kufuatilia mambo. Kifupi tu ni kuwa hakuna wa kuifuta Israel. Hivi wewe huogopi watu ambao wamesambaa dunia nzima lakini hawasahau kwao? Huoni ajabu watu wamesambaa lakini utamaduni wao unabaki kuwa vilevile bila kubadilika? Huoni tu huo ni muujiza?

Jana niliwaambia kuwa, ukiona mkristo anasema lolote kuhusu myahudi, si kwa sababu ya ukaribu wa dini zao, la hasha, bali ni kwa sababu historia ya uwepo wake mkristo anaijua automatic anavyojifunza imani yake ya Kristo.

Kama UN wangekuwa na akili, ni kujivika madaraka ya Ibrahim na kuwaweka watoto wake pamoja na kujaribu kuwapa urithi, japokuwa israel anaweza kukataa maana mirathi yake imeandikwa wakati ya Ismail haijaandikwa popote.

Kudai maamuzi ya wosia wa baba siyo kosa kwao, japokuwa wanaweza kuwa wanafanya dhambi kuua watu wasio na hatia. Lkn wanadai kilicho halali kwao.
 
Wamasai wako lakini hawana Ardhi,Waisrael wameumbwa kuhangaika tu,na wataendelea kuhangaika,kwanini unafikiri walijaa na bado wamejaa nchi za Ulaya Mashariki,Urusi,Poland,Ukraine, nk,kama walipewa chi wangelikaa katika nchi yao,Waisrael wawashukuru Waingereza kwa kuwapatia Ardhi Palestina,Unajua kwamba Waingereza walitaka kuwapatia hawa watu Ardhi Uganda kabla ya kuamuliwa wapewe Ardhi Palestina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…