Tetesi: Messi amezoa Tuzo 3

Tetesi: Messi amezoa Tuzo 3

Sindano kama zote, kijelele

Awe mbilikimo, asiwe mbilikimo ndio Mungu kamuumba hivyo, na World cup amebaba, hakuna kombe ambalo hajabeba binadamu huyu aliejaaliwa kipaji..


Hebu nitajie mchezaji aliebeba makombe kama yote, na tuzo nyingi n.k n.k!!!
 
Mtoa mada Umeandika kana kwamba kila mtu anaifahamu hiyo IFFHS
 
Awe mbilikimo, asiwe mbilikimo ndio Mungu kamuumba hivyo, na World cup amebaba, hakuna kombe ambalo hajabeba binadamu huyu aliejaaliwa kipaji..


Hebu nitajie mchezaji aliebeba makombe kama yote, na tuzo nyingi n.k n.k!!!
Yeye ni wa kwanza.
 
Kwani kwa kombe la dunia ni mwanasoka gani anaongoza kulibeba sana.TUANZIE HAPA.
 
Back
Top Bottom