Tetesi: Messi amezoa Tuzo 3

Tetesi: Messi amezoa Tuzo 3

20230101_155524.jpg
20230101_155401.jpg
20230101_155212.jpg
20230101_155210.jpg
20230101_155030.jpg
20230108_161844.jpg
 
Tangu niwe mfuatiliaji wa mpira mpaka leo hii tarehe 8 January 2023 bado sijaona wachezaji wa kuwakaribia "MESSI AND DIEGO ARMANDO MARADONA,
And it will take time to find players kama hawa...
Sahihi kabisa...

Kuna mmoja amejitahidi mno kushindana na La Pulga, huyu tumpe heshima yake japo kaishia njiani.
 

Yani ukiniambia nichague De lima, okocha, gaucho, iniesta, aguero, suarez, de maria, aise nitaondoka na cr7 japo sio shabiki wake. Ila linapokuja suala la wote aise Messi na Diego hakuna wa kufuata pale 😀😀 kiuchezaji na mafanikio tuu Messi asilinganishwe na mchezaji yeyote mkuu, ni My opinions tu.
 
Back
Top Bottom