Kwako wewe Lewandoski siyo bora sababu Poland haichukui vikombe?. Au Mbwana Samatha hajui kitu? Unajua ni nani anaongoza kufunga magoli timu ya taifa Argentina? Muwe munaangalia kwanza mpira na kusoma takwimu., siyo unamsikiliza Luambano halafu unajiona expert.
Kama mwanaume kweli ahame ligi, ahame timu. Wanaume wa kweli wanafanyaga hivyo
atoke aende timu gani na ligi gani?Messi kama mwanaume kweli atoke hapo Barkalona, sote tumejionea amefanya nini akiwa Argentina
Messi kama mwanaume kweli atoke hapo Barkalona, sote tumejionea amefanya nini akiwa Argentina
Mbona hamuelewi sio kwamba aende timu gani,Messi nje ya Barcelona hana tofauti na Molinga,Mfano akiwa nje ya Barcelona ni Argentina ameshafanya kitu gani cha maana.
EPL ni ligi bora kabisa kupata kutokea.
kuna watu hapa wanasifia laliga, lakini ikitokea mechi zimegongana muda Real betis vs Getafe halafu huku kuna Wolves vs Crystal palace, hapo mtu ataangalia mechi ya EPL.
Tuache unafiki
Hana jipya nje ya hapo huyo andunje mkuu na ndio maana amepang'ang'ania sana hapo
Hiyo ligi bora mbona hatuoni ikitoa wachezaji bora? Ndani ya miaka 20 imectoa mchezaji bora mara moja tu halafu unataka utwambie ni bora kuliko ligi iliyotoa wachezaji bora zaidi ya mara 15.
Hizo timu mbili ndio zinazoongoza kwa kutoa wachezaji bora duniani na zaidi ya miaka 20 kwenye first 11 ya hizo timu hazijawai kukoasa mchezaji bora wa dunia, hata EPL kila mchezaji akionyesha uwezo mkubwa anajiona anastahili kwenda kuchezea hizo timu.
Wewe ukiwa kwenye keyboard unaona hizo timu mbili ziko sawa na zingine lakini wachezaji wenyewe ndoto zao ni kuchezea hizo timu mbili.
Kwa jinsi ulivyomumwambafai hapa, ningependa atue timu yoyote hata Simba ili athibitishe haya maneno uliyompamba hapa.Utagundua wengi wanamdis messi ni wale hata mpira hawaangalii
Messi anakaba
Mesi anapandisha timu
Messi huwa anausoma mchezo anawapanga wachezaji uwanjani kulingana na pressure ya game ilivyo
Messi anapikuwa na mpira always hukabwa na watu watatu hadi watano na kurahisisha ushindi kwa timu
Messi anatoa assist
Sitaki kuzungumzia kuhusu kufunga hata malaika wanajua
Unazijua takwimu za messi akiwa timu ya Taifa?
Ziweke hizo takwimu hapa ili mjadala uende vyema.
Hiyo ndio namna bora ya mjadala, ukigundua unayejadili naye hajui kitu, muoneshe ili ajionee na yeye apinge kwa hoja.
Mimi binafsi napenda kuangalia mechi nyingi za EPL kuliko laliga
Hii ni kutokana na branding ya ligi
Lakini mechi ya Barcelona huwa sikosi nafurahi kumwona messi anacheza the man is blessed
Unafurahi anatumia akili nyingi kuliko maguvu simply genius
Gaucho once said ....najuta sikucheza muda mrefu na messi
Kabla ya messi. Kwangu gaucho ndio alikuwa mchezaji bora wa dunia lkn luxury life zilimponza km zinavyomponza neymer sasa otherwise gaucho i could make most than he did
Kwangu Mimi wachezaji watano duniani kwa muda wote toka nianze kufuatilia mpira in
1.Leon Messi
2.Gaucho
3.Rivaldo
4.Paul schooled
5.Zidane and Ronald de Lima
Sitaki kuzungunzia Pele na maradona I never watched them
Tuondolee upupu wako hapa,kwani Ronaldo sio mfungaji bora wa portugal?Unamletea takwimu MTU ambaye anasema messi hafanyi vizuri akiwa timu ya Taifa! Ni kumwacha na ujinga wake
Messi ndio mfungaji bora wa muda wote wa Argentina
Na rekodi nyingine nyingi
Tuondolee upupu wako hapa,kwani Ronaldo sio mfungaji bora wa portugal?
Sasa wananchi wa Argentina watamkumbuka messi kwa lipi? au magoli yake yasiyowapa kombe lolote?
Kwa jinsi ulivyomumwambafai hapa, ningependa atue timu yoyote hata Simba ili athibitishe haya maneno uliyompamba hapa.
Kama atayathibitisha basi haina shaka atabaki kuwa kileleni Duniani kama unavyomkubali sasa.
Sawa naona unabwabwaja tu huna unachoongea!Hapa hatumwongelei mviziaji Rinaldo
Fungua Uzi wa Reinaldo watachangia wajinga wenzako
Huu Uzi unamuhusu mchezaji bora wa muda wote toka dunia iumbwe
Usilete shobo kwangu