Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
May your dream come true.Mwaka 1958 Pele alifunga hattrick kwenye nusu fainali na akaja kufunga mawili kwenye fainali.
Siku ya leo rekodi hiyo inaenda kufikiwa na Messi maana atafunga magoli matatu.
Vamos Argentina.
Pole kwa Ronaldo na ninaamini kila kitu kinaanza kama ndoto hivyo subiria kuona hii inayohusu Messi ikitokea.Hata Ronaldo alikua na lengo kama lako, lakini mwisho wa siku alilia kama mtoto alijikojolea kwenye Pampasi. Endelea kuota mkuu.
Mkuu Kila timu unayoshabikia lazima itoke!!Mwaka 1958 Pele alifunga hattrick kwenye nusu fainali na akaja kufunga mawili kwenye fainali.
Siku ya leo rekodi hiyo inaenda kufikiwa na Messi maana atafunga magoli matatu.
Vamos Argentina.
Jamaa ana gandu[emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu Kila timu unayoshabikia lazima itoke!!
Sana!!Jamaa ana gandu[emoji23][emoji23][emoji23]
Basi haujawahi kunisoma humu ndani. Mimi tangu mwanzo nashabikia Argentina na kuzionya timu nyingi kutokana na uchezaji wao. Timu pekee ambayo nilikosea ni pale kwa ureno kumtoa Morocco.Mkuu Kila timu unayoshabikia lazima itoke!!
Nyie hamjawahi kunisoma kwenye kipindi hiki cha kombe la dunia, mnajiongelea tu.Jamaa ana gandu[emoji23][emoji23][emoji23]
Wanamnyonya mate asubuhi tu.Mwaka 1958 Pele alifunga hattrick kwenye nusu fainali na akaja kufunga mawili kwenye fainali.
Siku ya leo rekodi hiyo inaenda kufikiwa na Messi maana atafunga magoli matatu.
Vamos Argentina.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ronaldo: am going to tell piers Morgan about this..
usimtaje pele kwenye mambo ya kijinga.Mwaka 1958 Pele alifunga hattrick kwenye nusu fainali na akaja kufunga mawili kwenye fainali.
Siku ya leo rekodi hiyo inaenda kufikiwa na Messi maana atafunga magoli matatu.
Vamos Argentina.