Messi anaenda kufunga 'hattrick' yake ya kwanza Kombe la Dunia katika mchezo dhidi ya Croatia

Vamos Croatia .....

Ile ndoto kubwa ya Lionel Messi haitakaa itimie

Mashabiki wa Messi Andaeni Lesso msiba n mkubwa sana pale Doha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na unataka watu wakubali kwakua umezaliwa juzi?
Tunalinganisha kazi ya uwanjani na rekodi zilizopo. Pele amecheza kipindi sheria zilikuwa loose sana, magoli mengi yalikuwa offside.
 
Bado mawili hattrick ifike
 
Mwaka 1958 Pele alifunga hattrick kwenye nusu fainali na akaja kufunga mawili kwenye fainali.

Siku ya leo rekodi hiyo inaenda kufikiwa na Messi maana atafunga magoli matatu.

Vamos Argentina.
Messi anastafu na kombe, mtake msitake
 
Naiyona Team yangu Croatia mate yanawatoka mdomoni, dah dunia kigeugeu sana..Messi anachang'anya mabeki wale.
 
Hongera sana Lionel Messi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…