Messi anastahili kuwa GOAT wa Dunia

Messi anastahili kuwa GOAT wa Dunia

Messi - total stats:

1️⃣0️⃣3️⃣2️⃣ games
8️⃣1️⃣4️⃣ goals🔥
3️⃣5️⃣8️⃣ assists
4️⃣3️⃣ trophies
6️⃣4️⃣ freekicks🔥
5️⃣7️⃣ hattricks
8️⃣ Pichichi
7️⃣ Ballon d'Or
7️⃣ FIFA Best Player
6️⃣ Golden Boot
3️⃣ UEFA Best Player
2️⃣ Laureus World Sportsman
 
Messi - total stats:

1️⃣0️⃣3️⃣2️⃣ games
8️⃣1️⃣4️⃣ goals🔥
3️⃣5️⃣8️⃣ assists
4️⃣3️⃣ trophies
6️⃣4️⃣ freekicks🔥
5️⃣7️⃣ hattricks
8️⃣ Pichichi
7️⃣ Ballon d'Or
7️⃣ FIFA Best Player
6️⃣ Golden Boot
3️⃣ UEFA Best Player
2️⃣ Laureus World Sportsman
Nakubalii mwananguuuu🔥🔥🔥🔥
 
20230808_204732.jpg
 
Mpira haujaanza jana, huyo ni msitaafu anakula mafao. Ni raia wa Brazil.


Messi kwenye upigaji wa Free kick hajawafikia mafundi wengine wa kazi hiyo kama Beckam, Zico, mtume na nabii wa mwisho wa soka (Ronaldinho) na Maradona.


Unaposema fundi wa free kick ulimwenguni ni Juninho Pernambucano ambaye aligundua knuckleball technique ya upigaji mpira ambayo mpaka kesho ni wachezaji wachache sana wanaoiweza.
Ila kabakisha free kick tisa amfikie Pelle na kwa mda aliokuwa nao kwenye club na timu ya taifa atampita hadi pele, labda Junihno ambaye ana 77.Messi sasa hivi ana 61.
 
  • Thanks
Reactions: K11
Back
Top Bottom