Messi atakaporejea atamfikia C7 ktk magoli na kumpita!

Messi atakaporejea atamfikia C7 ktk magoli na kumpita!

jibu ni rahisi sana hawez hata apewe nafas zote yeye but hata wezakumfikia miez 2 ni ming sna jua kuwa cr7 haiwezekan zipite mech hata 2-3 bila kufunga goli hata moja ni vigumu yaan mess kwa cr7 hamuwez kwa kutupia magol cr7 yuko juu aisee
 
Watanzania kwa kupenda ubishi usio na data. CR ana goli 8 mesi ana 4. Kumkuta anaweza ila kitu cha kufahamu mwaka huu kiatu hakiendi kwao aidha kwa neymar au Suarez
 
jibu ni rahisi sana hawez hata apewe nafas zote yeye but hata wezakumfikia miez 2 ni ming sna jua kuwa cr7 haiwezekan zipite mech hata 2-3 bila kufunga goli hata moja ni vigumu yaan mess kwa cr7 hamuwez kwa kutupia magol cr7 yuko juu aisee


Halafu unajiita Intelligent mind? Nilifikiri utaweka fact kuonyesha kuwa Messi hawezi kumfikia CR7 kwa magoli..!!
 
Fact : Penaldo ni better lakini messi ni the best japokuwa style ya uchezaji ni tofauti
 
Back
Top Bottom