Ituzaingo Argentina
JF-Expert Member
- Jun 20, 2020
- 1,868
- 2,191
Huyu mwamba bado anaendeleza ubabe wake, huyo mchezaji nimemuonea huruma 😀😀
Kweli mpira una mtii huyu fundi
Kwangu mimi MESSI ni Best player ever ever ever..
ibanezafrica
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo hiyo ya kawaida wengine hawawezi ndio maana tunamuita mtu wa maajabuHe is magical but hiyo move ya kawaida sana. Ukiangalia alikua amemgeuzia mgongo huyo mchezaji na hata sio kwamba alianguka kwa sababu ya chenga bali aliurukia mpira akaukosa.
Messi anavyopiga chenga na kufunga magoli unaweza kudhani mabeki na makipa wazembe...ama unaweza dhania mpira ni rahisi sana.He is magical but hiyo move ya kawaida sana. Ukiangalia alikua amemgeuzia mgongo huyo mchezaji na hata sio kwamba alianguka kwa sababu ya chenga bali aliurukia mpira akaukosa.
He is magical but hiyo move ya kawaida sana. Ukiangalia alikua amemgeuzia mgongo huyo mchezaji na hata sio kwamba alianguka kwa sababu ya chenga bali aliurukia mpira akaukosa.
Kama ile ya Marcelo, Paul Scholes na wengine wengi wanaachwa kama wamepigwa na bumbuazi. Unaweza kuwazaba vibao kwa kudhani ni wazembe.Messi anavyopiga chenga na kufunga magoli unaweza kudhani mabeki na makipa wazembe...ama unaweza dhania mpira ni rahisi sana.
Kama ile ya Marcelo, Paul Scholes na wengine wengi wanaachwa kama wamepigwa na bumbuazi. Unaweza kuwazaba vibao kwa kudhani ni wazembe.