Hii issue bado ni trending sana kwetu.Siku ya wajinga duniani
Upo serious au ndio siku ya wajinga dunianiLionel Messi katika private jet yake akielekea katika jiji la Manchester kusaini mkataba wa kuichezea Man City kuanzia msimu ujaoCity wamethibitisha kuwa watamtambulisha Muargentina kama mchezaji wao leo 13:00 EAT katika Uwanja wao wa Etihad huku mashabiki 20,000 wakipewa kibali maalum cha kushuhudia utambulisho huo."View attachment 1740144