vibesen xxx
JF-Expert Member
- Jul 23, 2022
- 3,187
- 6,620
- Thread starter
-
- #41
hivi unadhani Ulaya kuna nchi inayowezafanya upuuzi kama huo?
ndio mimi sina akili kama kahaba aliekuzaa tu (mama yako)
Football was born in south america
Wivu mbaya jamaniMISS PENATI "Messi" is an overrated football player ever since the football was established in this world.
Mnisamehe bure kumbe nimepotea njia huu uzi haunihusu kabisa...[emoji124][emoji2960]View attachment 2454477View attachment 2454478View attachment 2454480
aliyekudanganya hivo ni nani?
wakiona inafaa waweke tu si pesa yao
AiseeSishangai maana Argentina ni jina la kike
Hiyo noti wailete hata huku tutaitumia tu😂Hiyo ndio habari kuu kutoka Argentina
Mchezaji bora wa muda wote duniani Leon Messi anapendekezwa sura yake kutumika kwenye sarafu na noti za Argentina
Heshima kwa Messi
Gazeti la elfinanciero limeripoti
HahahhahahahaahSishangai maana Argentina ni jina la kike
Sishangai maana Argentina ni jina la kike
Aya bhanaPole mkuu.. vumilia na maumivu unayopitia.
Huyo ndio King hana mpinzani..
Basi timu ufaransa/Africa wanaumia sana
Hiyo ndio habari kuu kutoka Argentina
Mchezaji bora wa muda wote duniani Leon Messi anapendekezwa sura yake kutumika kwenye sarafu na noti za Argentina
Heshima kwa Messi
Gazeti la elfinanciero limeripoti