Messi na Balloon d'or ya 5

big result now

Senior Member
Joined
Sep 8, 2013
Posts
107
Reaction score
70
lkiwa wamebakiza mechi nne tu,mbili za ligi na wanatakiwa washinde moja ili wawe mabingwa wa la liga,moja na atletico club fainal ya kombe la mfalme na hii ya tarehe sita mwez ujao fainali ya uefa.


Mawazo yangu japokuwa juve wana timu nzur ila nauona ugumu wa wao kumfunga barca pale berlin,la liga watatabeba pamoja na kombe la mfalme.


mess ana magoli 10 ya UCL,40 ya la liga na assist za kutosha,na pia ndo mtu anayeichezesha barca,nadhan mpaka sasa ballon d'or kimahesabu ni yake.
 
Hakuna ubishi jamaa anajua!!.. Ninachompendea hana majivuno, anaisaidia timu, kufunga kwake sio muhimu bari muhimu ni ushindi kwa timu.. Sasa kule upande wa pili CR7 anatakaga afungage yeye tu,, akinyimwa pasi malalamiko gunia..!!
 
Messi si mfalme tena barca! Mambo yote barca ni Neymar! The dwarf era is going to be a past history slowly but sure!
 
Messi si mfalme tena barca! Mambo yote barca ni Neymar! The dwarf era is going to be a past history slowly but sure!


Mpaka sasa Messi ana assist nyingi zaidi ya Neymar na ana magoli mengi zaidi ya Neyma.
 
Messi si mfalme tena barca! Mambo yote barca ni Neymar! The dwarf era is going to be a past history slowly but sure!
Huyo Neymar mbona hata uwezo wake hamfikii Eden Hazard!!!!

Uwezo wake ni wa kawaida tu ila anabebwa na media....
 
Barcelona ikichukua double yaani La liga na Champions au treble pamoja na Cup la mfalme..hamna jinsi lazima Messi atapewa toy yake
 
Huyo Neymar mbona hata uwezo wake hamfikii Eden Hazard!!!!

Uwezo wake ni wa kawaida tu ila anabebwa na media....

Mmhhh..... Km ndo uhuru wa mawazo basi tutasikia mengi sana. Neimar vs hazard?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…