Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatuwezi acha magaidi wasumbue kisa rwanda wako na psg.Hapa kwetu tunaendelea kupambana na ^magaidi^ kwanza, then tukiwa salama, milango itakuwa wazi tu hivi karibuni!!! 🙂
we jamaa embu hakikisha kwanza Data zako kabla huja andika ama utupe source tukasome maana ume tulisha tango naonaKuhama kwa Messi kutoka Barcelona kwenda PSG kumeongeza thamani zaidi kwa ile kampeni ya Rwanda. Kutambulishwa kwa Messi kumeiongezea PSG kiasi cha followers millioni 2 na yeye binafsi ana zaidi ya 200M kwenye Instagram ambao kuanzia sasa neno Visit Rwanda litakua likionekana kwao mara kwa mara. Nadhani Warwanda watakua na furaha zaidi katika huu uhamisho wa Messi.
Kama mdau wa utalii nimefurahi sana kuona wenzetu wakijitahidi kufanya yaliyo bora kwa sekta yao muhimu ya uchumi. Hopefully na sisi one day neno Visit Tanzania litaonekana zaidi ya kwenye jezi ya Simba.
Hiyo namba ya followers ya PSG kutoka 19M mpaka 40M haina uhalisia ni propaganda tu za mitandao ila so far hadi sasa ni 2M+.we jamaa embu hakikisha kwanza Data zako kabla huja andika ama utupe source tukasome maana ume tulisha tango naona
psg ilikua na followers 19 M wame ongezeka karibu mara mbili yake sasa yaan ongezeko la 22 M sio 2 M kama ulivo andika
Pia umesema Messi yeye kapata wafuasi wapya 200M kitu ambacho sio sahihi kwa kua messi kabla alikua na followers 200M+ hivo kama ameongeza 200 M wengine alipaswa awe na 400M+ kitu ambacho sio sawa kwa kua mess bado ako na followers 247M+
Kwenye jezi ya simba limekaa poa sanaNeno Tanzania ni refu sana sijui litakaaje kwenye T-shirt
Natania
Hata Rwanda PK anawafinya wapinzani wake walio nje na ndani ya Rwanda,tena anawauwa kabisa,anawaita magaidi,bila hivyo Rwanda isingetulia na kupata maendeleo makubwa kama inavyoonekana sasa.Kagame akili kubwa angecheka na nyani Rwanda pasingekalika.Hapa kwetu tunaendelea kupambana na ^magaidi^ kwanza, then tukiwa salama, milango itakuwa wazi tu hivi karibuni! 🙂
Yani we na utimamu wako mkuu unaamini team yenye neymar na mbape Hadi Leo hii iwe na followers 19ml serious?we jamaa embu hakikisha kwanza Data zako kabla huja andika ama utupe source tukasome maana ume tulisha tango naona
psg ilikua na followers 19 M wame ongezeka karibu mara mbili yake sasa yaan ongezeko la 22 M sio 2 M kama ulivo andika
Pia umesema Messi yeye kapata wafuasi wapya 200M kitu ambacho sio sahihi kwa kua messi kabla alikua na followers 200M+ hivo kama ameongeza 200 M wengine alipaswa awe na 400M+ kitu ambacho sio sawa kwa kua mess bado ako na followers 247M+
we jamaa embu hakikisha kwanza Data zako kabla huja andika ama utupe source tukasome maana ume tulisha tango naona
psg ilikua na followers 19 M wame ongezeka karibu mara mbili yake sasa yaan ongezeko la 22 M sio 2 M kama ulivo andika
Pia umesema Messi yeye kapata wafuasi wapya 200M kitu ambacho sio sahihi kwa kua messi kabla alikua na followers 200M+ hivo kama ameongeza 200 M wengine alipaswa awe na 400M+ kitu ambacho sio sawa kwa kua mess bado ako na followers 247M+
Kuhama kwa Messi kutoka Barcelona kwenda PSG kumeongeza thamani zaidi kwa ile kampeni ya Rwanda. Kutambulishwa kwa Messi kumeiongezea PSG kiasi cha followers millioni 2 na yeye binafsi ana zaidi ya 200M kwenye Instagram ambao kuanzia sasa neno Visit Rwanda litakua likionekana kwao mara kwa mara. Nadhani Warwanda watakua na furaha zaidi katika huu uhamisho wa Messi.
Kama mdau wa utalii nimefurahi sana kuona wenzetu wakijitahidi kufanya yaliyo bora kwa sekta yao muhimu ya uchumi. Hopefully na sisi one day neno Visit Tanzania litaonekana zaidi ya kwenye jezi ya Simba.
Rwanda wanailipa PSG Kiasi gani kwenye huo mkataba?
£30mil PSG
£30mil Arsenal
Hivi mtu unapotezaje hela yako kwenda kui visit Rwanda 😂😂😂Hatuwezi acha magaidi wasumbue kisa rwanda wako na psg.
£30mil PSG
£30mil Arsenal
NINGETAMANI MAMA SAMIA AONE UZI HUU NA MAAFISA WA MALI ASILI ZETUKuhama kwa Messi kutoka Barcelona kwenda PSG kumeongeza thamani zaidi kwa ile kampeni ya Rwanda. Kutambulishwa kwa Messi kumeiongezea PSG kiasi cha followers millioni 2 na yeye binafsi ana zaidi ya 200M kwenye Instagram ambao kuanzia sasa neno Visit Rwanda litakua likionekana kwao mara kwa mara. Nadhani Warwanda watakua na furaha zaidi katika huu uhamisho wa Messi.
Kama mdau wa utalii nimefurahi sana kuona wenzetu wakijitahidi kufanya yaliyo bora kwa sekta yao muhimu ya uchumi. Hopefully na sisi one day neno Visit Tanzania litaonekana zaidi ya kwenye jezi ya Simba.