Hujielewi mkuu.
Unataka fananisha mafua na ebola..?? Ronaldo Ebola, Mess Mafua... Chati zao hazifanan kabisa katika kuleta majanga.
Tanzania kila siku watu wanaugua mafua hawafi,ata kutengwa haitengwi.!! Nenda Afrika magharibi,habari Ebola,usiombe ije Afrika mashariki...
Hujielewi mkuu.
Unataka fananisha mafua na ebola..?? Ronaldo Ebola, Mess Mafua... Chati zao hazifanan kabisa katika kuleta majanga.
Tanzania kila siku watu wanaugua mafua hawafi,ata kutengwa haitengwi.!! Nenda Afrika magharibi,habari Ebola,usiombe ije Afrika mashariki...
Kwangu mimi CR7 ni mzuri, ila Messi mzuri zaidi. Cr7 anakasi, nguvu, drible, anafunga, anapiga free kick hivyo vinamfanya kuwa mkali duniani. Anapendwa na media, anajipenda, anapenda kujiangalia kwenye kioo...huyo ndio cr7 3 times ballon d'or
4 times ballon d'or, Leonel Messi anakasi, ingawa hana nguvu kama cr7, anadrible, anatandika freekick, anafungaaaa, anatisha anapokuwa ndani ya 18, anapendwa na media, sio b-show. Mkatoliki mcha mungu, hayo ndio mambo yanayo mfanya Leonel Messi kuwa mkali zaidi hapa duniani
swali: katika umri wake wa miaka 30 cr7 kafunga magoli mangapi katika mechi za kimashindano kwenye vilabu vi3 alivyo vichezea? Timu ya taifa magoli mangapi + mechi za kirafiki?
Hali kadhalika Messi hivyo hivyo. Goli ngapi na barca? Ngapi na national timu?
Mkuu umesahau CR7 anafunga kwa vichwa, ana uwezo wa kukaba, ndiye Ballon D Or holder.
Alafu sidhani kama ni sahihi kuangalia wingi wa magori, ndo umpate yupi ni bora. Mf. Mrisho Ngasa wetu ndo anongoza kwa kufunga goli nyingi CL ya Africa msimu huu, but ukisema yeye ni bora Africa ni kichekesho.
Messi anaweza kucheza kama playmaker, yani mid, kwa skills aluzokuwa nazo kitu ambacho cr7 hajawahi kuthubutu , na hana skills hizo, yeye ni mbio na mashuti tu
Messi anaweza kucheza kama playmaker, yani mid, kwa skills aluzokuwa nazo kitu ambacho cr7 hajawahi kuthubutu , na hana skills hizo, yeye ni mbio na mashuti tu
Messi anaweza kucheza kama playmaker, yani mid, kwa skills aluzokuwa nazo kitu ambacho cr7 hajawahi kuthubutu , na hana skills hizo, yeye ni mbio na mashuti tu
Mtoa Mada kauliza kwanini wote ni famba kwenye timu za taifa watu mnakomalia NeSSI mkaliii mara Christina zaidi MNA matatizo gani wachangia Mada???haya rudini ktk mstari mbishane mkiwa ktk mstari
Messi anaweza kucheza kama playmaker, yani mid, kwa skills aluzokuwa nazo kitu ambacho cr7 hajawahi kuthubutu , na hana skills hizo, yeye ni mbio na mashuti tu
Kwangu mimi CR7 ni mzuri, ila Messi mzuri zaidi. Cr7 anakasi, nguvu, drible, anafunga, anapiga free kick hivyo vinamfanya kuwa mkali duniani. Anapendwa na media, anajipenda, anapenda kujiangalia kwenye kioo...huyo ndio cr7 3 times ballon d'or
4 times ballon d'or, Leonel Messi anakasi, ingawa hana nguvu kama cr7, anadrible, anatandika freekick, anafungaaaa, anatisha anapokuwa ndani ya 18, anapendwa na media, sio b-show. Mkatoliki mcha mungu, hayo ndio mambo yanayo mfanya Leonel Messi kuwa mkali zaidi hapa duniani
swali: katika umri wake wa miaka 30 cr7 kafunga magoli mangapi katika mechi za kimashindano kwenye vilabu vi3 alivyo vichezea? Timu ya taifa magoli mangapi + mechi za kirafiki?
Hali kadhalika Messi hivyo hivyo. Goli ngapi na barca? Ngapi na national timu?