Companero
Platinum Member
- Jul 12, 2008
- 5,606
- 1,711
Ronaldo anatamani angezaliwa zama tofauti na Messi ila walau awe mchezaji bora duniani, hayo si maneno yangu - ni ya anayemjua!
PS. Maurinho kaja na jipya majuzi, eti anadai hatuwezi kuwalinganisha kwa kuwa wote wanatoka sayari nyingi - ila ukweli anaujua, toka akiwa Chelsea amekuwa akiwaagiza mabeki wake wampige mabuti (yaani kamfanya hata Ozel mpole ampige kiatu)!
PS. Maurinho kaja na jipya majuzi, eti anadai hatuwezi kuwalinganisha kwa kuwa wote wanatoka sayari nyingi - ila ukweli anaujua, toka akiwa Chelsea amekuwa akiwaagiza mabeki wake wampige mabuti (yaani kamfanya hata Ozel mpole ampige kiatu)!