Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,963
- 13,287
Mkuu hebu angalia juu na ujipige kifua mara tatu kwa kusema maneno haya "HAKIKA MIMI NI MNAFIKI"hana lolote labda wewe ndiwe uteseke lkn kiukweli Barca hakuna alichocheza kabisa Chifu zaidi ya kutembelea bahati pekee
Unateseka ni Shule 1 inayopatikana kule MwabepandePovuuuu mkuu, unateseka
Povuuuuu angalia usijinyongeUnateseka ni Shule 1 inayopatikana kule Mwabepande
Mkuu hebu angalia juu na ujipige kifua mara tatu kwa kusema maneno haya "HAKIKA MIMI NI MNAFIKI"
Utakufa kwa mahaba dogoPovuuuuu angalia usijinyonge
Sawa mkubwa, kuwa makini usije ukagongwa na gari au usijinyongeUtakufa kwa mahaba dogo
Sawa mkubwa, kuwa makini usije ukagongwa na gari au usijinyonge
Usiku mwema mkubwa, angalia usijinyongeLala ukue dogo si tunapenda uhai kuliko wewe uliyekufa umeoza kwa Barca hadi akili zako zimekosa akili kabisa
Mimi sio dogo, mm ni makamu ya baba yakoMahaba yatakuua dogo, ss kipindi cha pili Barca walicheza eneo lipi hasa kama si kukaa tu golini kwao na kushambulia mara 2 wakapata goli ndipo mwishoni kabisa wakaamka tena baada ya kupata nguvu ya magoli?
Hahahaha kwahiyo hatacheza?VVD amaejiumiza mazoezini kuepuka balaa
Laana ya kupindua matokeo dhidi ya PSG kwa magoli 6-1 ya mbeleko hadi Kocha aliadhibiwa ndiyo yanayoitafuna Barcelona[emoji23]Mimi sio dogo, mm ni makamu ya baba yako
Usiku mwema mkubwa, angalia usijinyonge