makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Huu ndio upenz wa mpira na sio ushabiki maandaz, watu wanakataa vitu vizur kisa upuuzi..Siwapendi kabisa Arsenal...ila napenda wanavyo cheza kwakweli wanavutia....Ozil ameonyesha kiwango cha kina Mess.
Viva Man utd.