Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpe timu ambayo haina uwezo wa kushajili mastaa uone Kama haishuki darajaAjui mpira anaekaa miaka zaidi ya kumi bila kombe, mou hajawahi kaa zaidi ya miaka mitatu bila kombe lolote
mtapewa tu kwani pesa kitu gani..........na Wenger alivyo utadhani atakataa hiyo pesa kisa nyie mashabiki.pogba anacheza vile wameuziwa 100 Ozil tutawauzia 700
ndio maana nikasema tutawauzia 700mtapewa tu kwani pesa kitu gani..........na Wenger alivyo utadhani atakataa hiyo pesa kisa nyie mashabiki.
Haya ni madhara ya bhangi.Unaizungumziaje hii Dili
Hiyo sio thamani ya Ozil, Ozil anacheza na Billion sasa hivi.ndio maana nikasema tutawauzia 700
Alipoipa ubingwa porto kulikua na mastaa gani aliokua kasajili?Mpe timu ambayo haina uwezo wa kushajili mastaa uone Kama haishuki daraja
Alaaniwe aliyegundua bhangi
Soon atavunja hiyo record, angalia na umri wakeAjui mpira anaekaa miaka zaidi ya kumi bila kombe, mou hajawahi kaa zaidi ya miaka mitatu bila kombe lolote
Si ana kale kakombe Ka Mbuzi saiziAjui mpira anaekaa miaka zaidi ya kumi bila kombe, mou hajawahi kaa zaidi ya miaka mitatu bila kombe lolote
Kwani umri ndio unaofundisha? Ferguson hadi anastaafu anachukua ubingwa tuSoon atavunja hiyo record, angalia na umri wake
Waliuzwa kipindi ambacho Pogba wa sasa asingeweza kununuliwa kwa kiasi hiko cha sasa.....Henry , overmas fabry,RVP waliuzwa , ozil nani asiuzwe kama hata saini mkataba maana yake anataka kuuzwa
Ana dhambi sanaAlaaniwe aliyegundua bhangi
Katoka madrid kwenda arsenal, kwahyo arsenal ni kubwa kuliko madrid?Ozil siyo ******** hawezi kwenda team ndogo kama Manuu itakuwa udhalilishaji
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] relax arsenal na Madrid ni team kubwa zote sasa Manuu ambayo kwa sasa ni kama Everton ndo Ozil aende huoni ni kuliaibisha soka?Katoka madrid kwenda arsenal, kwahyo arsenal ni kubwa kuliko madrid?
Historia????????? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] tunachukua makombe kila kukicha we unasema historia? [emoji23] [emoji23] [emoji23] vip arsenal na Liverpool miaka nenda rudi bila kombe watakua wanabebwa na nini?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] relax arsenal na Madrid ni team kubwa zote sasa Manuu ambayo kwa sasa ni kama Everton ndo Ozil aende huoni ni kuliaibisha soka?
Manuu imebaki historia ndiyo inayowalinda[emoji6] [emoji6] [emoji6]