Meta inapanga kupuguza wafanyakazi wake wiki hii

Meta inapanga kupuguza wafanyakazi wake wiki hii

Rare Sapphire

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2021
Posts
590
Reaction score
1,648
Screenshot_20221107-095200.jpg

Meta, kampuni mama ya Facebook inapanga kupunguza wafanyakazi wake huku maelfu ya wafanyakazi kuathirika na jambo hili.

Kutokana na ripoti ya hivi karibuni kutoka Meta September 30, ilikuwa na wafanyakazi wapatao 87,000 duniani kote ikijumuisha wafanyakazi kutoka Facebook, Instagram na Whatsapp.

Mapema June mwaka huu 2022 Zuckerberg aliwaonya wafanyakazi kwamba mdororo unaokuja ungesababisha kupunguzwa kwa kazi za uhandisi kwa angalau asilimia 30 katika kampuni ya mitandao ya kijamii.


CNBCTV
 
Back
Top Bottom