๐— ๐—˜๐—ง๐—” ๐—ธ๐˜‚๐—ณ๐˜‚๐—ป๐—ด๐—ถ๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ๐—บ๐—ฏ๐—ฎ ๐˜‡๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐˜๐˜‚๐—บ๐—ถ๐—ฎ๐—ท๐—ถ ๐˜„๐—ฎ ๐—ช๐—ต๐—ฎ๐˜๐˜€๐—ฎ๐—ฝ๐—ฝ

๐— ๐—˜๐—ง๐—” ๐—ธ๐˜‚๐—ณ๐˜‚๐—ป๐—ด๐—ถ๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ๐—บ๐—ฏ๐—ฎ ๐˜‡๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐˜๐˜‚๐—บ๐—ถ๐—ฎ๐—ท๐—ถ ๐˜„๐—ฎ ๐—ช๐—ต๐—ฎ๐˜๐˜€๐—ฎ๐—ฝ๐—ฝ

Wameshanilamba kichwa mamaee, nlikuwa na Yowhatsapp , nimejaribu kuhamishia namba kwenye official app imegoma. Nikahamishia kwenye Whatsapp business ikakubali ila ikawa Haina uwezo wa kutuma message Wala kureply kwenye magroup. Yani unaona wenzako wanavochat ila kwako peke Ako inasoma "only admins can send message"๐Ÿฅฒ
Nimebadili namba imekubali now natumia Whatsapp business, shit[emoji53]
 
whatsap ya META bado ipo analog sana, hauwez kuview, hauwez kusev status ya mwenzio, haina lock. themes na vionjo flan flan ivi imekosa kabisa
 
Wameshanilamba kichwa mamaee, nlikuwa na Yowhatsapp , nimejaribu kuhamishia namba kwenye official app imegoma. Nikahamishia kwenye Whatsapp business ikakubali ila ikawa Haina uwezo wa kutuma message Wala kureply kwenye magroup. Yani unaona wenzako wanavochat ila kwako peke Ako inasoma "only admins can send message"๐Ÿฅฒ
Nimebadili namba imekubali now natumia Whatsapp business, shit[emoji53]
Nipe namie maujanja walau nipate hio whatsap business mana wamenipiga tofali namba zote mbili
 
๐—›๐—ฎ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ๐—ป๐—ถ ๐˜‡๐—ฎ ๐—บ๐˜‚๐—ฑ๐—ฎ ๐—ต๐˜‚๐˜‚ ๐˜„๐—ฎ๐—ธ๐˜‚๐˜‚!

Natumai asilimia kubwa mtakuwa mmeshuhudia wimbi kubwa la watu wanaolalamika kufungiwa namba zao za Whatsapp kutokana na kutotumia Official Whatsapp App


Watumiaji wengi wa Whatsapp mbalimbali zisizo rasmi kama vile GBWhatsapp , YoWhatsapp, FMWhatsap n. k wamekuwa wakifungiwa namba zao permanently


Swali ni kwamba je ni kwa nini META ambao ndio wamiliki wa Whatsapp wanashindwa kuzifungia hizo Unofficial Whatsapp na badala yake wanawaumiza watumiaji wake ambao pengine walikuwa hawana uelewa wa kutosha ama walifuata features ambazo kwao wanaona ni bora kuliko zilizopo Official Whatsapp kama vile kupost status ya mpaka 45 sec, kuview deleted messages and statuses , ghost mode , flight mode n.k


Pia META nazani wanatambua uwepo wa hizi features ambazo zinawafanya watu watumie hizo Unofficial Whatsapp , je META ina mpango gani wa kuweza kuongeza baadhi ya features katika Official Whatsapp ili kuvuta wateja zaidi ?


โœ๏ธโœ๏ธโœ The thinker27
Nilikuwa natumia Oppo Nilidownload Officially Whatssap app lakini waliniburn nilituma Complain wakanambia Nibadilishe cm Kwa Sasa Natumia Iphone Natereza tu ila teregram mamboo ya mizagamuano Wameburn groups zote Adroid Uhuru Mwingi ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„ Adroid walishanihark watu wakanadilisha Wallpaper ya cm wakaweka picha ya kutisha CHINI wakaweka Namba za Msaada wanipige ela niliifrash ikawa poa Nikachukia Adroid hadi Leo Security yake ndogo Sanaa
 
๐—›๐—ฎ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ๐—ป๐—ถ ๐˜‡๐—ฎ ๐—บ๐˜‚๐—ฑ๐—ฎ ๐—ต๐˜‚๐˜‚ ๐˜„๐—ฎ๐—ธ๐˜‚๐˜‚!

Natumai asilimia kubwa mtakuwa mmeshuhudia wimbi kubwa la watu wanaolalamika kufungiwa namba zao za Whatsapp kutokana na kutotumia Official Whatsapp App


Watumiaji wengi wa Whatsapp mbalimbali zisizo rasmi kama vile GBWhatsapp , YoWhatsapp, FMWhatsap n. k wamekuwa wakifungiwa namba zao permanently


Swali ni kwamba je ni kwa nini META ambao ndio wamiliki wa Whatsapp wanashindwa kuzifungia hizo Unofficial Whatsapp na badala yake wanawaumiza watumiaji wake ambao pengine walikuwa hawana uelewa wa kutosha ama walifuata features ambazo kwao wanaona ni bora kuliko zilizopo Official Whatsapp kama vile kupost status ya mpaka 45 sec, kuview deleted messages and statuses , ghost mode , flight mode n.k


Pia META nazani wanatambua uwepo wa hizi features ambazo zinawafanya watu watumie hizo Unofficial Whatsapp , je META ina mpango gani wa kuweza kuongeza baadhi ya features katika Official Whatsapp ili kuvuta wateja zaidi ?


โœ๏ธโœ๏ธโœ The thinker27
Ukiona hivyo ufahamu hizo unofficialy whatsapp zina uwezo mkubwa na wameweza kupenya firewall za META kuweza kukonekti platform zao na META.

Wanashindwa kuwafungia kwa sababu wamezidiwa.
 
Mbna nikijaribu ku download official watsap ina onyesha kma tyr natumia wakt natumia fm watsap
Kwa sababu FM wahtsapp ni whatsapp iliyobadilishwa kidogo package name inaweza kuwa ile ile so toa kwanza hiyo feki.
 
๐—›๐—ฎ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ๐—ป๐—ถ ๐˜‡๐—ฎ ๐—บ๐˜‚๐—ฑ๐—ฎ ๐—ต๐˜‚๐˜‚ ๐˜„๐—ฎ๐—ธ๐˜‚๐˜‚!

Natumai asilimia kubwa mtakuwa mmeshuhudia wimbi kubwa la watu wanaolalamika kufungiwa namba zao za Whatsapp kutokana na kutotumia Official Whatsapp App


Watumiaji wengi wa Whatsapp mbalimbali zisizo rasmi kama vile GBWhatsapp , YoWhatsapp, FMWhatsap n. k wamekuwa wakifungiwa namba zao permanently


Swali ni kwamba je ni kwa nini META ambao ndio wamiliki wa Whatsapp wanashindwa kuzifungia hizo Unofficial Whatsapp na badala yake wanawaumiza watumiaji wake ambao pengine walikuwa hawana uelewa wa kutosha ama walifuata features ambazo kwao wanaona ni bora kuliko zilizopo Official Whatsapp kama vile kupost status ya mpaka 45 sec, kuview deleted messages and statuses , ghost mode , flight mode n.k


Pia META nazani wanatambua uwepo wa hizi features ambazo zinawafanya watu watumie hizo Unofficial Whatsapp , je META ina mpango gani wa kuweza kuongeza baadhi ya features katika Official Whatsapp ili kuvuta wateja zaidi ?


โœ๏ธโœ๏ธโœ The thinker27
Hizo sababu za kwann hawakufungia Unofficial WhatsApp wao wenyewe, muwe mnazitoa kwa serikali ya Tz tu, huko duniani ni kila mtu atabeba mzigo wake,

Umeidownload Whatsapp ya wizi, bas unafungiwa, hatuhangaiki na wewe, options ni mbili tumia official au tumia unofficial ufungiwe,

Be responsible
 
Nilichoshangaaa wamefungia mpaka simu haziwezi kudownload official whatsapp kama ushawahi tumia whatsapp za mchongoo...!! ni move ya ovyooo sanaaaa. maana unafungia namba mpaka device ovyooooo mnoo sema ukifungiwa koma akudownload whatsapp za mchongo zingine kama gb au yo whatsapp maana official hutoboii.
 
Back
Top Bottom