rip faza_nelly
JF-Expert Member
- Feb 19, 2018
- 5,749
- 7,038
whatsap ya META bado ipo analog sana, hauwez kuview, hauwez kusev status ya mwenzio, haina lock. themes na vionjo flan flan ivi imekosa kabisa
whatsap ya META bado ipo analog sana, hauwez kuview, hauwez kusev status ya mwenzio, haina lock. themes na vionjo flan flan ivi imekosa kabisa
Ni app ya kuwasiliana tu sio app ya starehe ๐คฃ ๐คฃ vionjo, mvuto, whichHaina mvuto kabisa. GB Whatsapp nitaikumbuka sana
Nipe namie maujanja walau nipate hio whatsap business mana wamenipiga tofali namba zote mbiliWameshanilamba kichwa mamaee, nlikuwa na Yowhatsapp , nimejaribu kuhamishia namba kwenye official app imegoma. Nikahamishia kwenye Whatsapp business ikakubali ila ikawa Haina uwezo wa kutuma message Wala kureply kwenye magroup. Yani unaona wenzako wanavochat ila kwako peke Ako inasoma "only admins can send message"๐ฅฒ
Nimebadili namba imekubali now natumia Whatsapp business, shit[emoji53]
Nilikuwa natumia Oppo Nilidownload Officially Whatssap app lakini waliniburn nilituma Complain wakanambia Nibadilishe cm Kwa Sasa Natumia Iphone Natereza tu ila teregram mamboo ya mizagamuano Wameburn groups zote Adroid Uhuru Mwingi ๐๐๐ Adroid walishanihark watu wakanadilisha Wallpaper ya cm wakaweka picha ya kutisha CHINI wakaweka Namba za Msaada wanipige ela niliifrash ikawa poa Nikachukia Adroid hadi Leo Security yake ndogo Sanaa๐๐ฎ๐ฏ๐ฎ๐ฟ๐ถ๐ป๐ถ ๐๐ฎ ๐บ๐๐ฑ๐ฎ ๐ต๐๐ ๐๐ฎ๐ธ๐๐!
Natumai asilimia kubwa mtakuwa mmeshuhudia wimbi kubwa la watu wanaolalamika kufungiwa namba zao za Whatsapp kutokana na kutotumia Official Whatsapp App
Watumiaji wengi wa Whatsapp mbalimbali zisizo rasmi kama vile GBWhatsapp , YoWhatsapp, FMWhatsap n. k wamekuwa wakifungiwa namba zao permanently
Swali ni kwamba je ni kwa nini META ambao ndio wamiliki wa Whatsapp wanashindwa kuzifungia hizo Unofficial Whatsapp na badala yake wanawaumiza watumiaji wake ambao pengine walikuwa hawana uelewa wa kutosha ama walifuata features ambazo kwao wanaona ni bora kuliko zilizopo Official Whatsapp kama vile kupost status ya mpaka 45 sec, kuview deleted messages and statuses , ghost mode , flight mode n.k
Pia META nazani wanatambua uwepo wa hizi features ambazo zinawafanya watu watumie hizo Unofficial Whatsapp , je META ina mpango gani wa kuweza kuongeza baadhi ya features katika Official Whatsapp ili kuvuta wateja zaidi ?
โ๏ธโ๏ธโ The thinker27
Ukiona hivyo ufahamu hizo unofficialy whatsapp zina uwezo mkubwa na wameweza kupenya firewall za META kuweza kukonekti platform zao na META.๐๐ฎ๐ฏ๐ฎ๐ฟ๐ถ๐ป๐ถ ๐๐ฎ ๐บ๐๐ฑ๐ฎ ๐ต๐๐ ๐๐ฎ๐ธ๐๐!
Natumai asilimia kubwa mtakuwa mmeshuhudia wimbi kubwa la watu wanaolalamika kufungiwa namba zao za Whatsapp kutokana na kutotumia Official Whatsapp App
Watumiaji wengi wa Whatsapp mbalimbali zisizo rasmi kama vile GBWhatsapp , YoWhatsapp, FMWhatsap n. k wamekuwa wakifungiwa namba zao permanently
Swali ni kwamba je ni kwa nini META ambao ndio wamiliki wa Whatsapp wanashindwa kuzifungia hizo Unofficial Whatsapp na badala yake wanawaumiza watumiaji wake ambao pengine walikuwa hawana uelewa wa kutosha ama walifuata features ambazo kwao wanaona ni bora kuliko zilizopo Official Whatsapp kama vile kupost status ya mpaka 45 sec, kuview deleted messages and statuses , ghost mode , flight mode n.k
Pia META nazani wanatambua uwepo wa hizi features ambazo zinawafanya watu watumie hizo Unofficial Whatsapp , je META ina mpango gani wa kuweza kuongeza baadhi ya features katika Official Whatsapp ili kuvuta wateja zaidi ?
โ๏ธโ๏ธโ The thinker27
Kwa sababu FM wahtsapp ni whatsapp iliyobadilishwa kidogo package name inaweza kuwa ile ile so toa kwanza hiyo feki.Mbna nikijaribu ku download official watsap ina onyesha kma tyr natumia wakt natumia fm watsap
Unatumia playstore? Na je unatumia aina gani ya simu?Mm official whatsapp inakataa kuinstall
SamsungUnatumia playstore? Na je unatumia aina gani ya simu?
Hapana mkuu kuna baadhi ya feature ni nzuri , ndio maana watu wengi walikuwa wanaitumiaSijawahi kuzielewa hizo Gb Whatsapp,yo Whatsapp sijui na vidudu gani vingine[emoji23]mambo mengine Huwa mnayataka wenyewe!
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Unainstall kwa playstore?Samsung
Hizo sababu za kwann hawakufungia Unofficial WhatsApp wao wenyewe, muwe mnazitoa kwa serikali ya Tz tu, huko duniani ni kila mtu atabeba mzigo wake,๐๐ฎ๐ฏ๐ฎ๐ฟ๐ถ๐ป๐ถ ๐๐ฎ ๐บ๐๐ฑ๐ฎ ๐ต๐๐ ๐๐ฎ๐ธ๐๐!
Natumai asilimia kubwa mtakuwa mmeshuhudia wimbi kubwa la watu wanaolalamika kufungiwa namba zao za Whatsapp kutokana na kutotumia Official Whatsapp App
Watumiaji wengi wa Whatsapp mbalimbali zisizo rasmi kama vile GBWhatsapp , YoWhatsapp, FMWhatsap n. k wamekuwa wakifungiwa namba zao permanently
Swali ni kwamba je ni kwa nini META ambao ndio wamiliki wa Whatsapp wanashindwa kuzifungia hizo Unofficial Whatsapp na badala yake wanawaumiza watumiaji wake ambao pengine walikuwa hawana uelewa wa kutosha ama walifuata features ambazo kwao wanaona ni bora kuliko zilizopo Official Whatsapp kama vile kupost status ya mpaka 45 sec, kuview deleted messages and statuses , ghost mode , flight mode n.k
Pia META nazani wanatambua uwepo wa hizi features ambazo zinawafanya watu watumie hizo Unofficial Whatsapp , je META ina mpango gani wa kuweza kuongeza baadhi ya features katika Official Whatsapp ili kuvuta wateja zaidi ?
โ๏ธโ๏ธโ The thinker27
Ndio, si ndo inapopatikana?Unainstall kwa playstore?