Kuna methali ya uongo ya ooh mtegemea cha nduguye hufa maskini
Methali ya mtegemea cha nduguye hufa maskini sio kweli Kwa wachaga,wakinga,Wahindi,wapemba na waarabu ni Kwa makabila mengine tu
Kama wandengereko, Wakwere, Wazaramo, Wamakonde, Wasambaa, Waha, Wafipa, Wapare, Wagogo na Wakojani kabila la Raisi Mama Samia nk sio hao nimetaja hao mtegemea cha nduguye hafi maskini huinuana.
Uliowataja sio, kwamba wanabweteka, na kutegemea, cha ndugu kuendesha maisha, w anafanyia kazi, cha ndugu, wanapata ujira wao, na, wanaanzisha vya kwao,
Mangi anamchukua Dogo kutoka Moshi anamleta mjini auze duka, duka likichangamka, anamuanzishia LA, kwake, uzuri kwa, ndugu zangu wachaga, huu ni social contract, wazee wa nyumbani wanakuwa wanamjua kabisa, mtu Fulani kamchukua kijana kwenda kumpa kazi, Arabs, na, pembas, wao unazaliwa unakuta mzee anamali,huumizi kichwa, unatembelea mlemle,mpakq mahari vijana wa kipemba wanalipiwa na, wazee wao, unaoa,na, unaendelea, kukaa hapo hapo nyumbani,
Mfumo mzuri ni wazungu, nchi zao, na, mfumo imefungua fulsa kila mtu anaweza kuwa anavyotaka, swala,la furaha yako ya kimaisha, Mali, na ukwasi ni jukumu lako,tafuta Mali na furaha kadri unavyotaka na, unavyoweza mfumo inakupa nafasi,
Hawa vijana, Gibson kawago, na Fernandez ni wa bongo, wanafanya makubwa hapa duniani kwenye Mambo ya renewable enwnegy, artificial intelligence, EVs, walifika mpaka kwa, eron musk, lakini hutasikia Samia na ccm yake akiwaongelea, ataongelea machawa doto magari, mwijaku, baba levo na kengemaji wengine