Methali ya mtegemea Cha nduguye hufa maskini sio kweli Kwa wachaga, wakinga, Wahindi, Wapemba na Waarabu ni kwa makabila mengine tu

Methali ya mtegemea Cha nduguye hufa maskini sio kweli Kwa wachaga, wakinga, Wahindi, Wapemba na Waarabu ni kwa makabila mengine tu

1 Timotheo 5:8

Asiyejali nduguze mbaya kuliko asiyeamini

Wachaga,wapemba,wahindi ,waarabu na wakinga hujali ndugu zao ndio maana unakuta ndugu wanainuka Kiuchumi
Tafuta mali yako laa sivyo utaishi kwa msongo sana dunia hii ya kibepari. Wewe una mikono na ubongo na wao wana mikono na ubongo kwanini wakusaidie wewe!
 
Wachaga ,Wahindi na wapemba na waarabu Wengi hutegemea ajira za ndugu zao hawategemei Serikali hutegemea ndugu zao waliotoka kimaisha wawatoe iwe kuwasomesha nk

Wachaga pia hawafanyi michezo ikifika swala la kusaidia ndugu they business ashindwe yeye tu

Ndio maana sio Rahisi kukuta wakinga ,waarabu ,wapemba au Wahindi Wengi serikalini au taasisi za umma ndugu wenye uwezo wamejipanga kusaidia ndugu kutoka kimaisha wanajua wajibu wao

Makabila mengine hopeless Kila Mtu anatakiwa afe kivyake asahau kutegemea ndugu

Waziri wa Elimu Proffessior Mkenda kitabu chochote chenye hiyo methali kiwe reprinted new edition

Kama Mheshimiwa mmoja humu alivyosema mithali hiyo unafanya tushindwe ku build family business empire

Mbona hata kampuni za Wazungu unakuta kampuni inaitwa Mercedes Benz ni family business ilianzishwa Miaka mamia yaliyopita na inadunda na Bado ni family business empire

Bakhresa na Azam yake kajaza ndugu na yeye kazeeka anajishindia msikitini swala Tano kaachia ndugu Hana ndugu yake lofa asiye na maisha

Au Toyota ilianzishwa huko na Toyota Bado Hadi Leo ni familiy business na ni empire kubwa ndugu walitegemea Cha ndugu Yao na kuziendeleza

Mzee Asas alifariki siku nyingi kampuni yake kajaza ndugu na Asas ni business empire kubwa mno ndani na nje ya nchi

Mwenyewe alishafariki wanaendesha ndugu

Hiyo methali iondolewe mashuleni Ina dis courage family business growth ana family prosperity of each member of the family
Billigate vipi kamuachia ndugu hio Microsoft ? Kuna biashara ndugu mwenyewe atakimbia zinahitaji akili kubwa. Elon musk siku akizeeka unadhani kuna ndugu ataweza yale mambo ? Itabidi atafutwe mtu mwenye akili kubwa popote duniani aendeleze kampuni. Huo msemo wako unafanya kazi kwenye vibiashara vya uchuuzi sio katika matumizi ya akili kubwa.Hakunaga ndugu wa kurithi ubunifu. Hao mercedes benz wamerithi hisa tu wala sio biashara yenyewe. Biashara yenyewe ya ubunifu wa magari wameajiriwa watu wenye akili kubwa kutoka Dunia nzima hakuna cha ndugu pale. Kama una akili utaenda kufanya kazi google, Tesla, Huawei nk.
Wekeza kwenye akila kubwa.Wakinga ni wachuuzi tu wasikubabaishe. Tanzania bado akili kubwa haijafanya kazi.
SISI wenye akili kubwa tunafikiria jinsi gani ya kuanzisha kampuni za kutumia akili kubwa sio uchuuzi uchuuzi wa akina bakhresa. Wekeza kwenye matumizi ya akili kubwa.
Hao akina MOE mie sioni ubunifu wao wowote. Wana import tumashine na ku process ukwaju, hivyo ni vitu vidogo vidogo tu hata wewe ukiamua unaweza.
Narudia tena WATANZANIA wekezeni matumizi ya AKILI KUBWA sio masikhara, wachina walianza taratibu leo wanaitawala DUNIA akili kubwa huitawaka DUNIA achana na mawazo madogo madogo ya kuchuuza mipunga, ufuta nk. Think BIG BIG BIG !
 
  • Kicheko
Reactions: EEX
Kumbe methali ya mtegemea cha nduguye hufa maskini ndio ilimaanishwa hvo!! Hakikaa waSwahili tuna kazi.
 
Billigate vipi kamuachia ndugu hio Microsoft ? Kuna biashara ndugu mwenyewe atakimbia zinahitaji akili kubwa. Elon musk siku akizeeka unadhani kuna ndugu ataweza yale mambo ? Itabidi atafutwe mtu mwenye akili kubwa popote duniani aendeleze kampuni. Huo msemo wako unafanya kazi kwenye vibiashara vya uchuuzi sio katika matumizi ya akili kubwa.Hakunaga ndugu wa kurithi ubunifu. Hao mercedes benz wamerithi hisa tu wala sio biashara yenyewe. Biashara yenyewe ya ubunifu wa magari wameajiriwa watu wenye akili kubwa kutoka Dunia nzima hakuna cha ndugu pale. Kama una akili utaenda kufanya kazi google, Tesla, Huawei nk.
Wekeza kwenye akila kubwa.Wakinga ni wachuuzi tu wasikubabaishe. Tanzania bado akili kubwa haijafanya kazi.
SISI wenye akili kubwa tunafikiria jinsi gani ya kuanzisha kampuni za kutumia akili kubwa sio uchuuzi uchuuzi wa akina bakhresa. Wekeza kwenye matumizi ya akili kubwa.
Hao akina MOE mie sioni ubunifu wao wowote. Wana import tumashine na ku process ukwaju, hivyo ni vitu vidogo vidogo tu hata wewe ukiamua unaweza.
Narudia tena WATANZANIA wekezeni matumizi ya AKILI KUBWA sio masikhara, wachina walianza taratibu leo wanaitawala DUNIA akili kubwa huitawaka DUNIA achana na mawazo madogo madogo ya kuchuuza mipunga, ufuta nk. Think BIG BIG BIG !
Kifupi huelewi kuhusu hao mabilionea Bill Gates na Elon
MUSK

Hizo kampuni zao zote ziko soko la hisa

Zina mamilioni ya wana hisa ila wao ni majority shareholders

Wanaoendesha kampuni ni board of directors iliyochaguliwa na shareholders na management ya wafanyakazi walioajiriwa sio Bill Gate wala Elon Musk

Board na management ya hizo kampuni zao huajiri best minds zenye akili nyingi kuendesha kampuni na hulipa vizuri kuanzia wafanyakazi hadi management na board ya wakurugenzi

Haziendeshwi na kichwa kimoja tu cha Bill Gates au Elon Musk

Ni.kama Dangote Kampuni ya Dangote iko soko la hisa la Nigeria

Wamiliki wa Dangote company ni wanigeria wengi mno ila Dangote ni main shareholders

Wakifa shares zao zinaenda kwa ndugu zao

Bakheresa ni darasa la pili ila anamiliki makampuni ya Azam kibao kuanzia meli,media, buashara za vyakula nk

Hajasoma hana uzoefu kwenye hizo biashara lakini kaajiri watu wazuri wenye akili nyingi uwezo mkubwa na anawalipa vizuri kuendesha kampuni zake

Hata wewe hata kama hujasomea mambo ya biashara ya ndege na huijui ukiwa na pesa waweza ajiri watu wazuri wajuao hiyo biashara vizuri ukajikuta na wewe ni kama Bill Gate au Elon Musk utajiri
 
Tafuta mali yako laa sivyo utaishi kwa msongo sana dunia hii ya kibepari. Wewe una mikono na ubongo na wao wana mikono na ubongo kwanini wakusaidie wewe!
Hakuna kitu kibaya kama kuzaliwa familia ya watu maskini huwa wana roho mbaya na hawajali kizazi Chao wana mawazo ya kimaskini kama yako utasikia ohh kwani mimi mali alinitafutia nani kwenda huko katafute zako lakini biblia kwenye
Mithali 19:14 inasema Nyumba na mali mtu hupata urithi toka kwa babaye

Wachaga,wahindi,waarabu ,wapemba na wakinga watoto na ndugu hupata urithi na mali toka kwa wazazi au ndugu zao waliowatangulia kiumri au kimafanikio

Pole kwa wewe kuzaliwa familua ya kimaskini na kurithi roho mbaya ya kimaskini badala ya kurithi mali

Ulichambulia kwenye famikia yako ya kilofa ni kurithi roho mbaya tu badala ya mali kama iagizavyo Biblia
 
Hakuna kitu kibaya kama kuzaliwa familia ya watu maskini huwa wana roho mbaya na hawajali kizazi Chao wana mawazo ya kimaskini kama yako utasikia ohh kwani mimi mali alinitafutia nani kwenda huko katafute zako lakini biblia kwenye
Mithali 19:14 inasema Nyumba na mali mtu hupata urithi toka kwa babaye

Wachaga,wahindi,waarabu ,wapemba na wakinga watoto hupata urithi na mali toka kwa ndugu zao waliowatangulia kiumri au kimafanikio

Pole kwa wewe kuzaliwa familua ya kimaskini na kurithi roho mbaya ya kimaskini badala ya kurithi mali

Ulichambulia kwenye famikia yako ya kilofa ni kurithi roho mbaya tu badala ya mali kama iagizavyo Biblia
Wengi wanapata mali kwa familia zilizokuwa matajiri...Unawajua wsambaa au unawasikia hao ndugu mmoja anabeba ukoo mzima wanaishi kama waarabu Tate Mkuu

Nenda Tanga pale shehoza wafanyakazi wake wote mpaka walinzi ni wasambaa , hakuna duka la msambaa likauzwa na mtu mwingine , kuwa waha ndio wanajaza mpaka wna mitaa yao kariakoo .

Kushindwa kuacha urithi labda hizo pesa na biashara hazipo , hao wazaramo wanakesha kula bata wana miliki magorofa ya urithi pale kariakoo wanachukua kodi tu .

Rejea lile gorofa ambalo mgogoro wake umetatuliwa juzi hapa , ambapo wametenga sehemu ya msikiti ni wazaramo wale wanakula kodi watoto mpaka kesho , jidanganye.

Jaribu kufanya utafiti usiropoke maana makabila mengi huyajui .
 
Kifupi huelewi kuhusu hao mabilionea Bill Gates na Elon
MUSK

Hizo kampuni zao zote ziko soko la hisa

Zina mamilioni ya wana hisa ila wao ni majority shareholders

Wanaoendesha kampuni ni board of directors iliyochaguliwa na shareholders na management ya wafanyakazi walioajiriwa sio Bill Gate wala Elon Musk

Board na management ya hizo kampuni zao huajiri best minds zenye akili nyingi kuendesha kampuni na hulipa vizuri kuanzia wafanyakazi hadi management na board ya wakurugenzi

Haziendeshwi na kichwa kimoja tu cha Bill Gates au Elon Musk

Ni.kama Dangote Kampuni ya Dangote iko soko la hisa la Nigeria

Wamiliki wa Dangote company ni wanigeria wengi mno ila Dangote ni main shareholders

Wakifa shares zao zinaenda kwa ndugu zao

Bakheresa ni darasa la pili ila anamiliki makampuni ya Azam kibao kuanzia meli,media, buashara za vyakula nk

Hajasoma hana uzoefu kwenye hizo biashara lakini kaajiri watu wazuri wenye akili nyingi uwezo mkubwa na anawalipa vizuri kuendesha kampuni zake

Hata wewe hata kama hujasomea mambo ya biashara ya ndege na huijui ukiwa na pesa waweza ajiri watu wazuri wajuao hiyo biashara vizuri ukajikuta na wewe ni kama Bill Gate au Elon Musk utajiri
Naona unarudia mle mle nilimo andika. Bill na Ellon ni waanzilishi wa hayo makampuni acha kudanganya. Hisa kubwa zimetokana na AKILI KUBWA waliowekeza. Space X imeanzishwa na akili ya Elon mwenyewe hakuwekwa pale kwa sababu ya hisa kubwa. Kampuni za akina bakhresa ni za kichuuzi tu. Umeshindwa kuelewa nilicho andika. Nimeandika kumaanisha kampuni zinazohitaji ubunifu ndugu hapo hana nafasi bali ndugu wataishia kurithi hisa tu sio kupewa kazi. Nimetolea mfano wa microsoft kuwa alivyoondoka Bill katafutwa mtu mwenye akili kubwa sio ndugu. Uwe unaelewa au kama hujaelewa uliza.
Habari za kuwekana wekana ndugu ni vibiashara vya kichuuzi tu kama vya akina bakhresa na wakinga.
Dangote hajaajiliwa bali alianzisha hio kampuni ikakua mikononi mwake. Uwezo wake wa akili ndio unamfanya aendelee kuwa bosi pake.
Jitahidi kusoma maoni vizuri.
 
Naona unarudia mle mle nilimo andika. Bill na Ellon ni waanzilishi wa hayo makampuni acha kudanganya. Hisa kubwa zimetokana na AKILI KUBWA waliowekeza. Space X imeanzishwa na akili ya Elon mwenyewe hakuwekwa pale kwa sababu ya hisa kubwa. Kampuni za akina bakhresa ni za kichuuzi tu. Umeshindwa kuelewa nilicho andika. Nimeandika kumaanisha kampuni zinazohitaji ubunifu ndugu hapo hana nafasi bali ndugu wataishia kurithi hisa tu sio kupewa kazi. Nimetolea mfano wa microsoft kuwa alivyoondoka Bill katafutwa mtu mwenye akili kubwa sio ndugu. Uwe unaelewa au kama hujaelewa uliza.
Habari za kuwekana wekana ndugu ni vibiashara vya kichuuzi tu kama vya akina bakhresa na wakinga.
Dangote hajaajiliwa bali alianzisha hio kampuni ikakua mikononi mwake. Uwezo wake wa akili ndio unamfanya aendelee kuwa bosi pake.
Jitahidi kusoma maoni vizuri.
Unachoongea nafikiri hujawaza vizuri warithi wa hisa hata wasipokuwa wabunifu sio kitu kikubwa wao wanarithi hisa au kampuni na mali zake sio lazima wawe wabunifu hata kwa kampuni kubwa sana za viwanda

Kampuni inakuwa na management

Management ya kampuni kunakuwa na idara ya Research and Innovation hiyo ndio inafanya kazi ya ubunifu

Mfano aliyebuni gari za Mercedes benz mzee Karl Benz alikufa mwaka 1929 lakini hadi leo Gari za Mercedes Benz ni moto wa kuotea mbali Ndugu walirithi wao sio wabunifu kama yeye lakini watu walioajiriwa wazuri kitengo cha Research and Innovation wanaolipwa vizuri huhakikisha Benz inabaki matawi ya juu miaka yote

Ukija Toyota aliyebuni magari ya Toyota Akihiro Toyoda allyebuni magari.Kibiashara ya Toyota na mwanzilishi wa kampuni ya Toyota Motor Corporation alikufa mwa 1952

Hisa zake au mali zake wakarithi nduguze kama main shareholders lakini wao hawakuwa wabunifu kama yeye idara za waajiriwa wenye uwezo na ubunifu wa idara ya Research and Innovation ndio wanaipaisha Toyota hadi leo toka mzee wa watu kafariki 1952 yaani kafariki miaka 72 iliyopita Toyota inafanya vizuri mno sokoni na magari bora kuliko ya Toyota ya mwaka 1952

Kinachotakiwa sio lazima mwenye biashara uwe na skills za Innovation waweza ajiri wenye huo uwezo wakafanya hiyo kazi vizuri tena kwa ufanisi mkubwa cha msingi malipo tu
 
Hakuna kitu kibaya kama kuzaliwa familia ya watu maskini huwa wana roho mbaya na hawajali kizazi Chao wana mawazo ya kimaskini kama yako utasikia ohh kwani mimi mali alinitafutia nani kwenda huko katafute zako lakini biblia kwenye
Mithali 19:14 inasema Nyumba na mali mtu hupata urithi toka kwa babaye

Wachaga,wahindi,waarabu ,wapemba na wakinga watoto na ndugu hupata urithi na mali toka kwa wazazi au ndugu zao waliowatangulia kiumri au kimafanikio

Pole kwa wewe kuzaliwa familua ya kimaskini na kurithi roho mbaya ya kimaskini badala ya kurithi mali

Ulichambulia kwenye famikia yako ya kilofa ni kurithi roho mbaya tu badala ya mali kama iagizavyo Biblia
Haya mawazo yako ya kitegemezi ya kulilia kusaidiwa ndio ya kimaskini. Yanaonesha jinsi gani ulivyo mvivu wa kufanya kazi. Biblia inasema ASIEFANYA KAZI NA ASILE. Mtume Paulo anasema NILIPOKUWA KWENU SIKUMUELEMEA MTU, Paulo Mtume alikuwa anashona magunia na kuhubiri Injili. Sasa wewe popoma umekaa hapo unalaumu ndugu eti hawakusaidii. Wifwa changalyesu. Lwako.
 
Back
Top Bottom