Uko sahihi sana tuMisemo ya kutugawa kiuchumi ili tusiweze kutengeneza Family business Empires.. Kila siku kila mtu anaanza moja..
Wachaga ,Wahindi na wapemba na waarabu Wengi hutegemea ajira za ndugu zao hawategemei Serikali hutegemea ndugu zao waliotoka kimaisha wawatoe iwe kuwasomesha nkMtoa mada hii methali imekutoa knockout.
Kufanya kazi kwa ndugu sio kutemea ndugu. Fikiri kwa kina
Hiyo methali ya kibaguzi kikabila Rangi nk mbona wachaga,Wahindi, waaarabu,wapemba,wakinga na wahindi hutegemea Cha ndugu Yao na hutoka kimaisha na ndio wanaongoza Kwa kufanikiwa Tanzania kuliko makabila mengineMtoa mada hii methali imekutoa knockout.
Kufanya kazi kwa ndugu sio kutemea ndugu. Fikiri kwa kina
Tafuta mali yako. Biblia imeandika:Misemo ya kutugawa kiuchumi ili tusiweze kutengeneza Family business Empires.. Kila siku kila mtu anaanza moja.. Na badala ya kuwekeza pesa zake anaziweka kwenye mabenki ya nje.. Akifa ndio imeisha hiyo.. Hii ni misemo ya watu wachoyo wasio na vision ya mbali .
Tafuta mali yako. Biblia imeandika:Kuna methali ya uongo ya ooh mtegemea cha nduguye hufa maskini
Methali ya mtegemea Cha nduguye hufa maskini sio kweli Kwa wachaga,wakinga,Wahindi,wapemba na waarabu ni Kwa makabila mengine tu
Kama wandengereko ,wakwere ,wazaramo,wanakonde,wasambaa,waha ,wafipa ,wapare ,wagogo na wakojani kabila la Raisi Mama Samia nk sio hao nimetaja hao mtegemea Cha nduguye Hafi maskini huinuana
Huo ujumbe ulioweka hapa hauna uhusiano na mada tunayojadili hapa..Tafuta mali yako. Biblia imeandika:
Yer 17:5 SUV
Shirikisha
BWANA asema hivi, Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu, Amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yake Na moyoni mwake amemwacha BWANA.
Ni wazi huelewi maana ya methali hiyo. Poor soul.Huo ujumbe ulioweka hapa hauna uhusiano na mada tunayojadili hapa..
Unapowekewa jiwe ili ukanyage na uruke maji ni tofauti na yule ambaye hajawekewa jiwe la kukanyaga.. Na usipolitumia jiwe Hilo kama umewekewa utakuwa ni mpumbavu wa mwisho..
Dunia hii inaongozwa na familia.. Mfano mzuri ni Rokerfeller family.. Wazungu na waarabu wana Business empires za kutisha ambazo hazikuanza jana wala juzi.. Na hazitokuja kufilisika..
Tofauti na sisi wametutawala mpaka akili na wameweza kutugawa.. Divide and rule.. Na sisi kwa kukosa exposure tumefata walivyotugawa na hatufikirii kitu chochote kitakachodumu kwa miaka hata 200 ijayo.. Tunachofikiria ni kila mtu awe na chake na akifa na alichoanzisha nacho kinakufa..
Fungua macho ndugu yangu.. Umepewa akili na utashi.. Maamuzi ni yako..
Kuwainua watu wako kama una nafasi wala sio dhambi.. Unakuwa unatengeneza jamii imara yenye uwezo wa kusimama na kushawishi.. Tofauti na hapo utabaki na mahela yako uliyoiba unayalalia kwenye magodoro TU na utakapokufa waliobaki wanayafuja na kurudi palepale..
THINK BIG MY FRIEND..
Ushauri Bora kabisaHuo ujumbe ulioweka hapa hauna uhusiano na mada tunayojadili hapa..
Unapowekewa jiwe ili ukanyage na uruke maji ni tofauti na yule ambaye hajawekewa jiwe la kukanyaga.. Na usipolitumia jiwe Hilo kama umewekewa utakuwa ni mpumbavu wa mwisho..
Dunia hii inaongozwa na familia.. Mfano mzuri ni Rokerfeller family.. Wazungu na waarabu wana Business empires za kutisha ambazo hazikuanza jana wala juzi.. Na hazitokuja kufilisika..
Tofauti na sisi wametutawala mpaka akili na wameweza kutugawa.. Divide and rule.. Na sisi kwa kukosa exposure tumefata walivyotugawa na hatufikirii kitu chochote kitakachodumu kwa miaka hata 200 ijayo.. Tunachofikiria ni kila mtu awe na chake na akifa na alichoanzisha nacho kinakufa..
Fungua macho ndugu yangu.. Umepewa akili na utashi.. Maamuzi ni yako..
Kuwainua watu wako kama una nafasi wala sio dhambi.. Unakuwa unatengeneza jamii imara yenye uwezo wa kusimama na kushawishi.. Tofauti na hapo utabaki na mahela yako uliyoiba unayalalia kwenye magodoro TU na utakapokufa waliobaki wanayafuja na kurudi palepale..
THINK BIG MY FRIEND..
Uliowataja sio, kwamba wanabweteka, na kutegemea, cha ndugu kuendesha maisha, w anafanyia kazi, cha ndugu, wanapata ujira wao, na, wanaanzisha vya kwao,Kuna methali ya uongo ya ooh mtegemea cha nduguye hufa maskini
Methali ya mtegemea cha nduguye hufa maskini sio kweli Kwa wachaga,wakinga,Wahindi,wapemba na waarabu ni Kwa makabila mengine tu
Kama wandengereko, Wakwere, Wazaramo, Wamakonde, Wasambaa, Waha, Wafipa, Wapare, Wagogo na Wakojani kabila la Raisi Mama Samia nk sio hao nimetaja hao mtegemea cha nduguye hafi maskini huinuana.
1 Timotheo 5:8Tafuta mali yako. Biblia imeandika:
Yer 17:5 SUV
Shirikisha
BWANA asema hivi, Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu, Amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yake Na moyoni mwake amemwacha BWANA.
Angalau leo umeongea point 😎