Nimeipata hii kwenye mkasi EATV.
"Mpende akupendae, asiyekupenda MHONGE"
Imekaaje hii? Inamaana wote wanaohonga hawana mapenzi ya kweli? Na mapenzi ya kweli ni yale ya kupendana tu bila kuprovide chochote?
Nawakilisha.
Kokutona..iwe koku shubira yagenda mu yuniversity Bhukobha???