Ukienda hospital kutibiwa kama Daktari atakupa Flaggily huwa anasisitiza sana usinywe pombe hapa kunamadhala gani kibaologia na je ni hatari na kama umekunywa dawa hizo halafu ukajisahau ukanywa na pombe ninikifanyike ilikuepuka hayo madhara.
Ukinywa pombe hali umekunywa dawa nafikiri ni bora tu ugawe fasta urithi ili watu wasigombane badaye na pia jisogeze maeneo ya makaburini ili watu wasisumbuke kukubeba.