Mexence Melo: Mabilionea wajao Tanzania watatokana na Teknolojia

Mexence Melo: Mabilionea wajao Tanzania watatokana na Teknolojia

Kaongea ukweli mtupu mfano mzuri ni bwana Sirjeff Denis mwenye networth ya $3million kupitia forex & crypto
 
Maxence Melo Mkurugenzi wa JamiiForums na Mwanzilishi mwenza akiwa kwenye Interview CloudsTzv amesema:

"Mabilionea wanaokuja sasa hivi Tanzania watatokea kwenye teknolojia, hivyo Serikali iweke mazingira wezeshi"

Je, huu msemo unaendana na wakati? ''Kama munaitaka mali mutaipata shambani''

Una nini cha kuchangia?
Teknolojia Ni Neno Pana, Ila Kama maana Ni kufanya huduma au uzalishaji kwa weledi kupitia teknolojia sahihi kwa wakati uliopo naunga mkono hoja.....

ie. Nikilima kwa kutumia teknolojia nitakuwa mmoja wa mabilionea wajao.
 
Na tunarudishwa nyuma zaidi , kutokana na syllabus tunazotumia plus mbinu za kusoma

Hadi leo watu wanahangaika na kusolve past papers ili wafaulu mitihani , innovations itatoka wapi?
Hahaha
 
Kile chuo kikubwa cha TEHAMA wameanza kujenga au?
 
Back
Top Bottom