Mexico | Estados Unidos Mexicanos

Mexico | Estados Unidos Mexicanos

wanawake wao ni warembo sana,
na kubwa kuliko yote ni katika maeneo machache duniani ukitoa wa bantu wanawake wao wana vishuzi. A.k.a misambwanda
 
Unachokosea ni kwamba unacopy na kupest huleti kitu original kilichoandaliwa na wewe hapa Kuna maswali tukikuuliza utashindwa kujibu..unatujazia server za jf tu.hicho ulichoandika ukiingia Google unakikuta Kama kilivyo.wenzako wanaandikaga sehem walizofika ili hate wakiulizwa maswali wanajibu
 
Unachokosea ni kwamba unacopy na kupest huleti kitu original kilichoandaliwa na wewe hapa Kuna maswali tukikuuliza utashindwa kujibu..unatujazia server za jf tu.hicho ulichoandika ukiingia Google unakikuta Kama kilivyo.wenzako wanaandikaga sehem walizofika ili hate wakiulizwa maswali wanajibu
Msaidie kujibu wewe kwani ameweka limit acha ujuaji wa kitoto kwenye Uzi wa mtu
 
Unachokosea ni kwamba unacopy na kupest huleti kitu original kilichoandaliwa na wewe hapa Kuna maswali tukikuuliza utashindwa kujibu..unatujazia server za jf tu.hicho ulichoandika ukiingia Google unakikuta Kama kilivyo.wenzako wanaandikaga sehem walizofika ili hate wakiulizwa maswali wanajibu
Habari Mexican Gang Unaweza kuweka link/s nilizo copy na kufanya paste hapa kusudi wenye maswali waweze kupata sehemu ya kuuliza.

Pia kuhusu kujaza Server za JF jaribu kuwasiliana na utendaji waweze kuondosha mada husika.
 
Unachokosea ni kwamba unacopy na kupest huleti kitu original kilichoandaliwa na wewe hapa Kuna maswali tukikuuliza utashindwa kujibu..unatujazia server za jf tu.hicho ulichoandika ukiingia Google unakikuta Kama kilivyo.wenzako wanaandikaga sehem walizofika ili hate wakiulizwa maswali wanajibu
ACHA ujuaji wa kitoto wewe!

Wengine hata kukopi na kupesti hatujui!
Hata huko gugo unaposema ndio hatupajui kabisa na mbaya ZAIDI hatujawahi kuwaza hata kutoka nje ya bongoland!
So wewe Kama unapajua na hautaki kukopi na kupesti anzisha uzi wako!

Na sisi tuache na uzi wetu tuendelee kutembelea Latin America kwa fikra kupitia mataalam wetu!
 
Habari Mexican Gang Unaweza kuweka link/s nilizo copy na kufanya paste hapa kusudi wenye maswali waweze kupata sehemu ya kuuliza.

Pia kuhusu kujaza Server za JF jaribu kuwasiliana na utendaji waweze kuondosha mada husika.
Mkuu achana na huyo!

WE I WE NI KUCOPY AU UNATOA AU UNAHADITHIWA AU HATA KAMA UNAZIIBA MAHALI FULANI WE LETA HAPA!
TUNACHOHITAJI SISI NI KUONGEZA MAARIFA[emoji120]
 
Back
Top Bottom