Meya azuiwa tena kuingia kwenye kikao

Meya azuiwa tena kuingia kwenye kikao

lengo la ccm ni kuiba hela halafu wakishachota wamsingizie Meya ili afunguliwe kesi ya utakatishaji
Acheni kung'ang'ania madaraka, meya hela anabeba kwenye briefcase au!! Sababu zenu hazina mashiko
 
Niliandika hapa na nitazidi kuandika Tena na Tena as long as nipo hai,,ni hivi wanaohusika kumshauri huyu mkurya wamueleze Hali halisi kuliko kuishi na nightmare ni heri akashika hamsini zake afanye kazi/shughuli nyingine kuliko kusumbuka na umeya ambao tayari ameshatolewa!!!
Kifuatacho wote mtamhurumia.
Huo ni ushauri wa uoga haufai na utajenga taswila kuwa ana makosa wakati anaonewa, lazima akomae apiganie nafasi yake kiume amuombe mungu kwa bidii apate kushinda ushetani wa makonda anaoupenyezea kupitia naibu meya na mkurugenzi wa jiji
 
Hata hili mtamsingizia Kangi Lugola?
Wizara ya Mambo ya ndani kuna nini mpaka mnamsumbua Mh. Rais? Wakati Kangi anatumbuliwa huku pembeni polisi wanamsulubu Mh. Meya!
Polisi siku wakifikishwa The Hague ndipo wataacha kushabikia ccm
 


=====

Fujo ZAIBUKA...Azungumza! Meya wa jiji la Dar Isaya Mwita ambaye ni pia ni diwani wa Mbweni amezuliwa na Askari Kuingia ofisi kwake alipoenda kwa ajili ya kuhudhuria vikao vya Halmashauri. Madiwani wote ni wajumbe wa vikao kuhusu masuala ya jiji la Dar es Salaam .

Sakata la leo limetokea mbele ya mabalozi wa nchi za nje wanaowakilisha nchi zao Tanzania waliofika kikazi ktk eneo la ofisi za meya . Kiitifaki Meya Isaya Mwita Charles anatakiwa awapokee kwa niaba ya wananchi wa Dar es Salaam.

Sakata la meya lilianza baada ya kura za kumuondoa kisheria ya 2/3 za madiwani wote kabisa waridhie aondoke kwenye umeya kushindikana kupatikana. Sasa suala hili limekuwa la kisiasa zaidi kwa mkurugenzi wa jiji na serikali ya CCM kufanya kila linalowezekana kumzuia meya kuingia ofisini na hata kufikia kumzuia meya ambaye ni diwani kuhudhuria vikao kama diwani.

Source: Global TV online

Haya mambo ya kihuni hayawezi kukoma hadi pale wananchi mtakapoacha kuendekeza uoga wa tear gas na risasi za moto
 
lengo la ccm ni kuiba hela halafu wakishachota wamsingizie Meya ili afunguliwe kesi ya utakatishaji
Acheni kung'ang'ania madaraka, meya hela anabeba kwenye briefcase au!! Sababu zenu hazina mashiko
anaondoka kwa utaratibu upi ?
Ajiuzuru kulinda heshima yake vinginevyo ni msaka tonge tu na hana means nyingine ya kuishi, atazoea tu sio lazima awe meya jamani.
 
Haya mambo ya kihuni hayawezi kukoma hadi pale wananchi mtakapoacha kuendekeza uoga wa tear gas na risasi za moto
Njia pekee ya kukataa ushetani wa ccm ni hii na imekuwa bahati mabalozi wameona wameshuhudia ushetani wa mkurugenzi na wenzake inazidi kuharibu heshima ya Nchi
 
Kwanini hakuna intervention ya chama kwenye swala hili? Naona kama anapambana individually!
 
Acheni kung'ang'ania madaraka, meya hela anabeba kwenye briefcase au!! Sababu zenu hazina mashiko
Ajiuzuru kulinda heshima yake vinginevyo ni msaka tonge tu na hana means nyingine ya kuishi, atazoea tu sio lazima awe meya jamani.
Ajiuzuru kivipi? Msaka tonge na means zingine za kuishi vina uhusiano gani na kuzuia mbinu haramu za kumg’oa? Tambua kuwa moja ya nguzo ya Heshima ni kupigania haki mpaka tone la mwisho siyo kukimbia kienyeji apate kuwapa mwanya waende kumbambikia kesi, wasaka tonge ni wale waliopenyeza ushetani wa kutaka kumng’oa, acha kulea uovu acha kukubali ushetani wa ccm kuwaonea watu.
 
Kwanini hakuna intervention ya chama kwenye swala hili? Naona kama anapambana individually!
Chadema wote wana kesi za kubambikiwa wanamsaidia kupitia madiwani wa chadema wote kuchelewa kumng’oa ni juhudi za viongozi wa chadema pia
 
Ajiuzuru kivipi? Msaka tonge na means zingine za kuishi vina uhusiano gani na kuzuia mbinu haramu za kumg’oa? Tambua kuwa moja ya nguzo ya Heshima ni kupigania haki mpaka tone la mwisho siyo kukimbia kienyeji apate kuwapa mwanya waende kumbambikia kesi, wasaka tonge ni wale waliopenyeza ushetani wa kutaka kumng’oa, acha kulea uovu acha kukubali ushetani wa ccm kuwaonea watu.
Hivi watoto wake wanamuoneje baba mzima kutwa kusukumasukuma tu, hata akibakia na umeya heshima yake iko wapi hapo. Yule ni mtu mzima so matimbwili ya vile aachie vijana.
 
Niliandika hapa na nitazidi kuandika Tena na Tena as long as nipo hai,,ni hivi wanaohusika kumshauri huyu mkurya wamueleze Hali halisi kuliko kuishi na nightmare ni heri akashika hamsini zake afanye kazi/shughuli nyingine kuliko kusumbuka na umeya ambao tayari ameshatolewa!!!
Kifuatacho wote mtamhurumia.
We Masinki ya mavi unataka asihudhulie hata kikao cha kamati ambacho Madiwani wanaruhusiwa kuhudhuria ? Na yeye alienda pale si kama Meya bali Diwani/Mjumbe wa Kamati husika.
 
Acheni kung'ang'ania madaraka, meya hela anabeba kwenye briefcase au!! Sababu zenu hazina mashiko
Ajiuzuru kulinda heshima yake vinginevyo ni msaka tonge tu na hana means nyingine ya kuishi, atazoea tu sio lazima awe meya jamani.
Anza na mume wako Kwanza ndiyo uje kuwashauri wengine pimbi wewe
 
Back
Top Bottom