Meya Issaya Mwita atoa tamko


Akidi ilitimia na uamuzi ungekuwa halali iwapo wajumbe ingalau 17 waliohudhuria hiyo juzi wangepiga kura ya "NDIYO, SINA IMANI NA MEYA" ukiondoa kura ya Meya mwenyewe ambaye kwa vyovyote asingejikataa mwenyewe.......

Lakini inasemekana kati ya 18 waliopiga kura za "NDIYO" ni 16 tu nje kabisa ya theluthi mbili inayotakiwa kisheria ndiyo waliunga mkono azimio huku wawili 2 wakilikataa.......

Hata hivyo, Meya wa manispaa ya Kinondoni Bwana Chaurembo anashangaza kidogo kwa kutoa maana mpya ya tafsiri ya 2/3.....

Kwamba, 2/3 ya wajumbe ktk swala hili inakokotolewa kutoka idadi ya wajumbe waliosaini azimio na mahudhurio ya kikao cha namna hii, which means katika wajumbe 18 (akiwemo aliyefojiwa saini), theluthi mbili yake ni kama wajumbe 13 hivi.....!!

Kwa mujibu wa CCM kanuni ya 2/3 kwa kikao chao cha tarehe 9/1/2020 ilikidhiwa na hivyo uamuzi wa kumuondoa Meya Isaya Mwita ni halali kikanuni na kisheria.....

Nadhani mjadala uko hapa, kuwa kweli au siyo kweli??
 

Uwiano wa madiwani (wajumbe) wanaounda baraza la madiwani wa Jiji la DSM kati ya CCM na vyama vingine ukoje kwani?

Iweje CCM wawazidi wakati toka mwanzo idadi ya wajumbe wa baraza toka vyama pinzani ilikuwa kubwa na ndiyo maana wakaongoza Jiji?

Kwa anayejua, tafadhali atujuze hapa
 
Mayor Isaya umenifumbua macho. Mie sikujua mwanzo. Kumbe madaraka matamu kiasi hicho???
 
Kwa hiyo mwenye kura ya VETO ya umeya wa Dar ni huyo diwani wa CUF pekee ambaye hakutokea.
 
Kwanini waziri hajatoa kulalamikiwa kuboronga uchaguzi wa serikali za mitaa matokeo yake aliipongeza ccm?
Yeye yupo kwenye mpango na yeye ndo aliyeratibu na TISS anahusika na ubabaishaji huu
Naomba ufafanuzi wa haya.
1. Theluthi mbili ya akidi ya wajumbe wa kumtoa Meya haikufika kikanuni , sasa ni kwa nini kikao kikaendelea?
2. Ni kwa nini Waziri mwenye dhamana na Tamisemi hajatoa tamko lolote hadi sasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba ufafanuzi wa haya.
1. Theluthi mbili ya akidi ya wajumbe wa kumtoa Meya haikufika kikanuni , sasa ni kwa nini kikao kikaendelea?
2. Ni kwa nini Waziri mwenye dhamana na Tamisemi hajatoa tamko lolote hadi sasa?
MIMI KADRI YA MAELEZO YA MEYA AKIDI ILIFIKIWA YA WAJUMBE WALIOHUDHURIA ILI KUPIGA KURA YA KUMTOA.WALIFIKIA 18 JUMLISHA NA MEYA MWENYEWE NI 18. Ila wawili walipinga na kulikuwa na mjumbe aliyetegemewa awepo ili theluthi mbili ya wajumbe wakumwondoa ya 17 iseme ndio. WAJUMBE WAHUSIKA WA KUMWONDOA AMEELEZA NI 26. Huko marekani hata ukiwa mgonjwa unafuatwa upige KURA.
 
 
Makonda hajawahi fanikiwa kwenye mipango ovu yake
 
Kuna kitu sijakielewa. Naomba kufahamishwa. Hiyo kura moja ya diwani ambaye hayupo si ni diwani wa KAFU? Kwaiyo M-KAFU ame-team up na Mbogamboga kung'oa Meya?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba ufafanuzi wa haya.
1. Theluthi mbili ya akidi ya wajumbe wa kumtoa Meya haikufika kikanuni , sasa ni kwa nini kikao kikaendelea?
2. Ni kwa nini Waziri mwenye dhamana na Tamisemi hajatoa tamko lolote hadi sasa?
Waziri hajatoa tamko kwa sababu Jiwe hajamwambia lakufanya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…