Meya Jacob: Nimetoa taarifa Polisi juu ya watu waolivalia sare za JWTZ na walichokifanya nyumbani kwangu

Meya Jacob: Nimetoa taarifa Polisi juu ya watu waolivalia sare za JWTZ na walichokifanya nyumbani kwangu

Kwani si ameshasema kwamba ameripoti polisi.
Huu ni mrejesho, kuna uzi alipandisha kuhusu kuvamiwa kwake na muda huo ndo alikuwa anaelekea kwake. Polisi ametoa taarifa baada ya kufika kwake na wao kufanya upekuzi... Huyu meya ni bure kiukweli.
 
Nilisema muda mrefu hao watu ni wa kupiga viberiti tu. Halafu na ww meya Jacob lile sakata lako na bashite tume ya maadili liliishia wapi?

kacheki twiter amejibu.
ila inshort ngoma imemkalia vibaya bashite na kwa tume ya maadili kawaida first in first out. kinachotekea tume imeshindwa kufanya vikao wakiogopa kutoa hukumu kwa bashite na kushibdwa kwake kumepelekea mashahuri mengi kukwama ya viongozi wengine.
kifupi wamejaa kwenye kuminanane. " ukitema nchale, ukimeza nchale"
 
Daah yule meya wa jiji ndugu Mwita naona yeye ametulia kabisaaaaa yuko bize na utawala kama hayamuhusu vile.
 
Jamaa hawana muda mrefu wataingia kwenye 18 ya wananzengo na watajuta kuzaliwa.
Hili jambo linaelekea ukingoni.
 
Kuna picha siku za nyuma zilionesha Bashite kutanguzana na watu wenye sare za JWTZ. Sijui wale ni askari wanaotambuliwa au Bashite ametengeneza genge lake lusilotambulika kisheria
Bado anakuja mjinga anakuambia eti nchi yetu ni salama. Shame on u.
 
Hivi yule Kibox alikosekana hapo kweli? Bila shaka ndiyo mratibu wa Wasiojulikana huyo!
 
Huyu meya si alipeleka shauri Fulani tume ya maadili?, liliishia wapi suala hilo
 
Kama ni kweli basi tunaelekea pabaya, matumizi mabaya ya nguvu za dola..
Ila bila vitambulisho, bila karatasi ya upekuzi, bila mwenyekiti wa serikali za mitaa kuwepo, majirani, inamaanisha hao siyo polisi au TISS..
lla tumkumbushe tu aliyeleta thread, tukisikia au kupewa taarifa za hawa wahuni, cha kwanza peleka taarifa polisi, kwamba kuna majambazi yamevamia..
Ndio taarifa kwanza polisi, wale wale tunaowaponda kukicha, ila tupatapo shida za kiusalama ndilo kimbilio letu..
Pole Meya Mstahiki..
 
Watu wana akili za kiipumbavu sana. Kila ujinga unaoedelea ni Serikali. Hivi hili tukio mnavyoliona ni la kawaida?

Kuvamia, sare za jeshi, kupiga video. Hakuna walichochukua zaid ya picha. Watu wakazingira nyumba lakini hawakuwapata. Kuna kitu hapa cha kuweka sawa
 
MUNGU sasa atusaidie kutuondolea hili taahira linataka kutuingiza pabaya! Jytumia jeshi ni hatari sana tunakaribisha waasi. Siku jeshi likigawanyika tu Mabeyo hataweza kulituliza! Anatakiwa awe mkali kuzuia matumizi mabaya ya gheshi! MUNGU litwae li SHIJONGE, haya mafua yaliyolibana juzi yaliondoe!!
 
Siku zina kwenda muda unakwenda bado kitambo kidogo tufike 26042018
 
Walishindwa vipi kuwaitia wezi wawekwe chini ya ulinzi,wahojiwe ni wao ni nani na wametumwa na nani, vipi yeye hana hidden camera za kurecord matukio nyumbani kwake.Sema wanajua shughuli ya Bon wakamvizia hayupo pasingetosha hapo.
Siyo rahisi kiasi hicho
 
Mbona mnakuwa wazembe kufunga CCTV kwenye majumba yenu wakati mnajua hali halisi ya sasa hivi.

Fungeni kamera kwenye majumba na magari yenu
 
Back
Top Bottom