Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Vipi kuhusu wale waliokwenda clouds?JWTZ haiwezi kufanya upuuzi kama huu, weledi na uadilifu wa Jeshi letu unafahamika, hao ni watu wasiojulikana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi kuhusu wale waliokwenda clouds?JWTZ haiwezi kufanya upuuzi kama huu, weledi na uadilifu wa Jeshi letu unafahamika, hao ni watu wasiojulikana.
Tumia lugha mzuri hatuwapondi bali tunawakosoa pale wanapo kwenda vibaya maana hakuna aliye kamilikaKama ni kweli basi tunaelekea pabaya, matumizi mabaya ya nguvu za dola..
Ila bila vitambulisho, bila karatasi ya upekuzi, bila mwenyekiti wa serikali za mitaa kuwepo, majirani, inamaanisha hao siyo polisi au TISS..
lla tumkumbushe tu aliyeleta thread, tukisikia au kupewa taarifa za hawa wahuni, cha kwanza peleka taarifa polisi, kwamba kuna majambazi yamevamia..
Ndio taarifa kwanza polisi, wale wale tunaowaponda kukicha, ila tupatapo shida za kiusalama ndilo kimbilio letu..
Pole Meya Mstahiki..
Ndiyo! Uhalifu wenye sura kama hiiNarrow Minded.kwanini kila kitu kinachotokea mnakimbilia kusema watawala. kwahiyo nchi hii uhalifu unafanywa na watawala tu.
Anawapata wapi?na kama ameanzisha jeshi lake hiyo nguvu aneipata wapi?Hao ni Askari wa DAB
Zile zilizokuwa zimefungwa nyumbani kwa Lissu ziko wapi sasa hivi?Mbona mnakuwa wazembe kufunga CCTV kwenye majumba yenu wakati mnajua hali halisi ya sasa hivi.
Fungeni kamera kwenye majumba na magari yenu
Hayaja kukuta ndugu yanguNikweli kabisa mnaishije kma kuku WA kienyeji!!! Nahali yenyewe mnaijuwa?HV bado mnafanya utani nawasiojulikana!?b serious guyz.
Huko nyumba kwa Meya kuna sensor kwamba ikishasense tukio la hatari inatuma taarifa polisi muda huohuo? Unaposema polisi hawakwenda unapaswa pia kujua walipewa taarifa ya hilo tukio ndani ya muda gani?..kwanini Polisi hawakwenda nyumbani kwa Mstahiki Meya Jacob na kukabiliana na hao waliovamia na kufanya upekuzi?
Lissu hakuwa na CCTV camera, yeye alikuwa anategemea za jirani yakeZile zilizokuwa zimefungwa nyumbani kwa Lissu ziko wapi sasa hivi?
Aaaahhhhhh bwanaeeee kumbe unaelewa?Lissu hakuwa na CCTV camera, yeye alikuwa anategemea za jirani yake
Hawa CDM ndo maana mkuu huwa hawapendi kwa kutunga story tu hawajambo hawa wa kupigwa tu kwa kweli.....Halafu meya Jacob ulishindwa kweli kuwapigia simu majirani zako wafike nyumbani kujua kulikoni kwa hilo kundi la wahuni? Toka lini wanajeshi wakakagua nyumba za raia tena bila kibali wala kufuata taratibu za kisheria?
*Wakuu Habari za Usiku Huu na ninawasalimu katika Jina la Yesu*
pole kamanda,haki itatamalaki.Hawa CDM ndo maana mkuu huwa hawapendi kwa kutunga story tu hawajambo hawa wa kupigwa tu kwa kweli.....
2.Ni kweli wanao zaniwa kuwa Askari wawili (2) waliovalia Sare za JWTZ na Wengine watatu( 3) baada ya Kuongezeka wawili (2) Wakati Napewa taarifa Na Wanafamilia wakiwa bado chini ya Ulinzi Walidumu kwa Takribani Muda wa saa 1,kati ya Mida ya Saa 1 kasorobo Mpaka Saa 2 Usiku.
3.Ni kweli Walifanikiwa kuingia Vyumbani na Kupekua Kila kitu kila Mahali.Wakati huo Mimi sipo Nyumbani,Hakuna jirani,wala polisi aliyeshuhudia zoezi lao.
4.Ni kweli Wamerekodi Video na Kupiga picha kila walichopekua na Wanaye Muhoji.Kwa kuwalazimisha kwa Nguvu.
5.Walipokuwa Wanagonga Geti walidai wao wametokea Hospitali ya Lugalo,ambako Mdogo wangu amelazwa huko,Kuna taarifa Muhimu wanataka kuwapatia familia,Na walipo ingia Ndani ya geti wakawageuzia kibao cha kuwaweka chini ya Ulinzi nakuanza zoezi la Kupekua kinyume na Sheria za nchi za kuwataka Kibali cha ukaguzi na Mashahidi.
6.Jinsi walivyofika Nyumbani,Askari walio valia Sare za Jeshi JWTZ walimfuatilia Nyuma kwa pikipiki aina za Boxer Binti yangu Tangu alipotoka Hospitali
Mwenge,kabla ya kuvamia nyumbani na walipo fika walimtaka asipige kelele na Kumweka chini ya Ulinzi nje Ya Uzio wa Nyumbani mpaka walipomaliza Zoezi lao.
7.Baada ya wao kuondoka na Sisi Tumekagua Maeneo yote waliopekua kuangalia kama kuna kitu cha aina yeyote wameweka au kuficha,pamoja na vitu walivyoondoka navyo,Kwa Macho ya kawaida hatujatambua jambo lolote kwa Wakati huu.
8.Nimefika Lugalo Haraka Usiku huu kuhakiki kama watu hao wajulikana kama walivyojitambulisha walipoingia Nyumbani kwangu, na kuonana na Daktari wa zamu.ambapo Ameniambia *Hospitali haina utaratibu huo wala hawajawahi kufanya jambo hilo,*
Na Mgonjwa wangu hana jambo la kufanya nipekuliwe Nyumbani kinyume na Sheria, Hivyo Tangu saa saba Mchana Mpaka sasa Saa Nne,yeye bado ndiye aliyempokea na ndiye anaye Mtibu Mgonjwa wangu hivyo
*Hakuna Mtu yeyote aliyetumwa rasmi na Hospitali ya Lugalo wala Jeshi kwenda Nyumbani kwangu kunifanyia upekuzi na ni kinyume na taratibu zao za Jeshi,Hawana Utaratibu huo na awajui nani aliye kwenda kutumia jina la Hospitali katika tukio la kiarifu.*
9.Usiku huu nimetoka Kituo cha Polisi cha URAFIKI kutoa Taarifa ya kuvamia na watu wanaosadikiwa kuwa ni askari wa JWZT.Tayari nimepewa RB No URP/RB/3028/2018 na sasa narejea Nyumbani.Usiku huu Saa 8 kasorobo.
*10.MWISHO*
Nawashukuru Ndugu jamaa,Majirani,marafiki pamoja na Wanachana kwa Wananchi waliosogea kuzingira Nyumba baada ya kutoa Taarifa Za Uvamizi kutoka sehemu mbalimbali,Ingawa waliwakosa wahusika.
*Bado niko imara na Salama*
#Boniface_Jacob
abari inaendana na ile ya yule mbwa wa nasari aliyepigwa risasi, vioja na vihoja vya mjini*Wakuu Habari za Usiku Huu na ninawasalimu katika Jina la Yesu*
1.Nilifanikiwa kufika Nyumbani Usiku uleule,Na Kukuta wanafamilia,Majirani wote wakiwa kweye Taharuki.
2.Ni kweli wanao zaniwa kuwa Askari wawili (2) waliovalia Sare za JWTZ na Wengine watatu( 3) baada ya Kuongezeka wawili (2) Wakati Napewa taarifa Na Wanafamilia wakiwa bado chini ya Ulinzi Walidumu kwa Takribani Muda wa saa 1,kati ya Mida ya Saa 1 kasorobo Mpaka Saa 2 Usiku.
3.Ni kweli Walifanikiwa kuingia Vyumbani na Kupekua Kila kitu kila Mahali.Wakati huo Mimi sipo Nyumbani,Hakuna jirani,wala polisi aliyeshuhudia zoezi lao.
4.Ni kweli Wamerekodi Video na Kupiga picha kila walichopekua na Wanaye Muhoji.Kwa kuwalazimisha kwa Nguvu.
5.Walipokuwa Wanagonga Geti walidai wao wametokea Hospitali ya Lugalo,ambako Mdogo wangu amelazwa huko,Kuna taarifa Muhimu wanataka kuwapatia familia,Na walipo ingia Ndani ya geti wakawageuzia kibao cha kuwaweka chini ya Ulinzi nakuanza zoezi la Kupekua kinyume na Sheria za nchi za kuwataka Kibali cha ukaguzi na Mashahidi.
6.Jinsi walivyofika Nyumbani,Askari walio valia Sare za Jeshi JWTZ walimfuatilia Nyuma kwa pikipiki aina za Boxer Binti yangu Tangu alipotoka Hospitali
Mwenge,kabla ya kuvamia nyumbani na walipo fika walimtaka asipige kelele na Kumweka chini ya Ulinzi nje Ya Uzio wa Nyumbani mpaka walipomaliza Zoezi lao.
7.Baada ya wao kuondoka na Sisi Tumekagua Maeneo yote waliopekua kuangalia kama kuna kitu cha aina yeyote wameweka au kuficha,pamoja na vitu walivyoondoka navyo,Kwa Macho ya kawaida hatujatambua jambo lolote kwa Wakati huu.
8.Nimefika Lugalo Haraka Usiku huu kuhakiki kama watu hao wajulikana kama walivyojitambulisha walipoingia Nyumbani kwangu, na kuonana na Daktari wa zamu.ambapo Ameniambia *Hospitali haina utaratibu huo wala hawajawahi kufanya jambo hilo,*
Na Mgonjwa wangu hana jambo la kufanya nipekuliwe Nyumbani kinyume na Sheria, Hivyo Tangu saa saba Mchana Mpaka sasa Saa Nne,yeye bado ndiye aliyempokea na ndiye anaye Mtibu Mgonjwa wangu hivyo
*Hakuna Mtu yeyote aliyetumwa rasmi na Hospitali ya Lugalo wala Jeshi kwenda Nyumbani kwangu kunifanyia upekuzi na ni kinyume na taratibu zao za Jeshi,Hawana Utaratibu huo na awajui nani aliye kwenda kutumia jina la Hospitali katika tukio la kiarifu.*
9.Usiku huu nimetoka Kituo cha Polisi cha URAFIKI kutoa Taarifa ya kuvamia na watu wanaosadikiwa kuwa ni askari wa JWZT.Tayari nimepewa RB No URP/RB/3028/2018 na sasa narejea Nyumbani.Usiku huu Saa 8 kasorobo.
*10.MWISHO*
Nawashukuru Ndugu jamaa,Majirani,marafiki pamoja na Wanachana kwa Wananchi waliosogea kuzingira Nyumba baada ya kutoa Taarifa Za Uvamizi kutoka sehemu mbalimbali,Ingawa waliwakosa wahusika.
*Bado niko imara na Salama*
#Boniface_Jacob
Pole ndugu naona nimekukwaza sana.Bure ni mamako