Tetesi: Meya Kinondoni ni Jipu

Tetesi: Meya Kinondoni ni Jipu

Mambo gani aliyofanya yakanigusa mimi "end user?"

Usijitoe ufahamu kwa vitu vya msingi na kuleta ligi zisizo na maana hapa.

By the way, kwani hiyo barabara haimhusu Rais na waziri wake wa ujenzi?!
Kwan lazma uguswe ww sis wenye watot wanaosoma shule za msingi tumegusw.....na uwajibjikaj wake kwa raia wake
 
Kwan lazma uguswe ww sis wenye watot wanaosoma shule za msingi tumegusw.....na uwajibjikaj wake kwa raia wake
Ni lini elimu ya msingi iliwahi kuwa gharama?!

Kama umeweza kununua Smart phone na kuweka bundle kila wiki, unashindwa nini kumpeleka mwanao shule ya msingi/kata?!
 
b62d106b193fd5873d5e456f39957208.jpg
 
Ni lini elimu ya msingi iliwahi kuwa gharama?!

Kama umeweza kununua Smart phone na kuweka bundle kila wiki, unashindwa nini kumpeleka mwanao shule ya msingi/kata?!
Ckia nimekutolea mfano kwangu mm........ndo mana nkakuambia cyo lazima uguswe ww ......cjui umenipata vzr mkuu...
 
Nina amini Halmashauri na manispaa zinazoongozwa na UKAWA hazina jambo jipya la kusukuna maendeleo, kwa kuwa walioteuliwa kuziongoza wana mawazo mgando na wamejaa mipasho na kejeli tu vichwani mwao. Nasubiri, kusahihishwa kwa hili, kwa kuwa katika siku 100 za uongozi wa Rais Magufuli, hawajathubutu wao wenyewe kutoa tathmini ya maeneo yao wanayotawala, wamefanya vizuri kiasi gani.
Kawaida kabla ya utekeleji wa miradi unapanga bajeti halafu unakusanya mapato ndiyo unatekeleza. Mameya wapya hawajapanga bajeti bali wanatumia zilizoachwa na mafisadi wa CCM. Mbali na bajeti inawezekana walikomba pesa zote kabla ya kuondoka kama walivyozoea. Lawama zitolewe kuanzia Julai 2016 baada ya Halmashauri kuanza mwaka mpya wa fedha.
 
Japo ukawa wanajisifu kushinda uchaguzi lakini hadi sasa hakuna mabadiliko yoyote.

Nadhani mayor wa kinondoni aachane na majigambo yasiyo na maana badala yake tuone mipango uliyo nayo.

Sijaona manispaa yenye barabara mbovu ukiacha zile za Tanroad kama kinondoni.

Kuna siku nimepita njia ya hospitali ya mwananyamala sitasahau, nilihisi nimepotea njia.

Barabara ni mbovu lakini utakuta kinamama bado wanazifagia na watu wanapiga pesa kama kawaida.

Mr Bonface tunataka kuona vitendo maneno tumesha yazoea.

Hadi sasa naona mnaziba viraka vya lami kwa odongo , kweli ukawa ni jipu.
Ubovu wa hizo barabara walilie walioongoza miaka 50 iliyopita
 
Ulikuwa unataka Kinondoni ifanane na Hong Kong ndani ya miezi 2?vipi walioko madarakani miaka 50 mbona hawakufanya hivyo isitoshe Ngosha ndio alikuwa Waziri mwenye dhamana hakuiona hiyo bara bara taratibu mkuu au na wewe ulikuwa Mombasa.
 
Ulikuwa unataka Kinondoni ifanane na Hong Kong ndani ya miezi 2?vipi walioko madarakani miaka 50 mbona hawakufanya hivyo isitoshe Ngosha ndio alikuwa Waziri mwenye dhamana hakuiona hiyo bara bara taratibu mkuu au na wewe ulikuwa Mombasa.
sio kila barabara inashughlikiwa na Tanroad mkuu
 
Japo ukawa wanajisifu kushinda uchaguzi lakini hadi sasa hakuna mabadiliko yoyote.

Nadhani mayor wa kinondoni aachane na majigambo yasiyo na maana badala yake tuone mipango uliyo nayo.

Sijaona manispaa yenye barabara mbovu ukiacha zile za Tanroad kama kinondoni.

Kuna siku nimepita njia ya hospitali ya mwananyamala sitasahau, nilihisi nimepotea njia.

Barabara ni mbovu lakini utakuta kinamama bado wanazifagia na watu wanapiga pesa kama kawaida.

Mr Bonface tunataka kuona vitendo maneno tumesha yazoea.

Hadi sasa naona mnaziba viraka vya lami kwa odongo , kweli ukawa ni jipu.
Mpe muda Meya wa Ukawa ndio kwanza wameanza kazi subiri bajeti ya Mwaka wa Fedha unaoanza Julai.
 
Mpe muda Meya wa Ukawa ndio kwanza wameanza kazi subiri bajeti ya Mwaka wa Fedha unaoanza Julai.
ukawa ni jipu. maneno mengi utendaji 0. eti tumpe muda, mbona porojo kwenye vyombo vya habari anaziweza?
 
Huu ni upuuzi wa hali ya juu mtu hana mwezi ofisini unaongelea project kubwa kama barabara? Inaonekana hujui halmashauri/manispaa zina budget zake na hapa tuko katika mwaka wa budget 15/16,ambapo anatakiwa kumalizia huo kwanza, stupid
 
Na mnaanza kumlaumu meya wa cdm kwa kazi mbovu iliyofanywa na meya wa ccm, subiri miaka ya budget ijayo kama kazi haitafanyika huko ndio mtamjudge mtu, hii ni aibu kupost kitu kama hiki.
 
Huu ni upuuzi wa hali ya juu mtu hana mwezi ofisini unaongelea project kubwa kama barabara? Inaonekana hujui halmashauri/manispaa zina budget zake na hapa tuko katika mwaka wa budget 15/16,ambapo anatakiwa kumalizia huo kwanza, stupid
twambie nini kafanya kwa miezi aliyokaa ofisini zaidi ya kunywa chai na kuchakaza viti
 
Na mnaanza kumlaumu meya wa cdm kwa kazi mbovu iliyofanywa na meya wa ccm, subiri miaka ya budget ijayo kama kazi haitafanyika huko ndio mtamjudge mtu, hii ni aibu kupost kitu kama hiki.
Mayor maneno mengi utadhani ni afisa mawasiliano? Tunataka kazi zionekane walau hata mipango, mipasho haina nafasi 2015-2020
 
Mbona Magufuli ameingia miezi michache iliyo pita lakini walau kuna mambo kayafanyia kazi.
Huyu mayor zake maneno, lakini hakuna anacho fanya, kwangu bado ni jipu tuu.
hivi wewe una akili kweli hebu rudia kusoma ulichoandika halafu
urudi tena humu
 
barabara hiyo nimetolea mfano, lakini barabara chini ya manispaa ya kinondoni ni mbaya na ukipita sasa ivi utakuta wanaziba mashimo kwa udongo.
Punguza ujinga na kiherehere.Hivi kwa kutokuwa na meya wa jiji ulitegemea vikao na allocations za rasilimali zilizopo zifanyike vipi?Au unafikiri meya anatumia pesa zake mfukoni kutengeneza barabara!
 
Back
Top Bottom