Kwan lazma uguswe ww sis wenye watot wanaosoma shule za msingi tumegusw.....na uwajibjikaj wake kwa raia wakeMambo gani aliyofanya yakanigusa mimi "end user?"
Usijitoe ufahamu kwa vitu vya msingi na kuleta ligi zisizo na maana hapa.
By the way, kwani hiyo barabara haimhusu Rais na waziri wake wa ujenzi?!
Ni lini elimu ya msingi iliwahi kuwa gharama?!Kwan lazma uguswe ww sis wenye watot wanaosoma shule za msingi tumegusw.....na uwajibjikaj wake kwa raia wake
Ckia nimekutolea mfano kwangu mm........ndo mana nkakuambia cyo lazima uguswe ww ......cjui umenipata vzr mkuu...Ni lini elimu ya msingi iliwahi kuwa gharama?!
Kama umeweza kununua Smart phone na kuweka bundle kila wiki, unashindwa nini kumpeleka mwanao shule ya msingi/kata?!
Basi, heshimu maoni yangu pia. Sijaguswa bado!Ckia nimekutolea mfano kwangu mm........ndo mana nkakuambia cyo lazima uguswe ww ......cjui umenipata vzr mkuu...
Kawaida kabla ya utekeleji wa miradi unapanga bajeti halafu unakusanya mapato ndiyo unatekeleza. Mameya wapya hawajapanga bajeti bali wanatumia zilizoachwa na mafisadi wa CCM. Mbali na bajeti inawezekana walikomba pesa zote kabla ya kuondoka kama walivyozoea. Lawama zitolewe kuanzia Julai 2016 baada ya Halmashauri kuanza mwaka mpya wa fedha.Nina amini Halmashauri na manispaa zinazoongozwa na UKAWA hazina jambo jipya la kusukuna maendeleo, kwa kuwa walioteuliwa kuziongoza wana mawazo mgando na wamejaa mipasho na kejeli tu vichwani mwao. Nasubiri, kusahihishwa kwa hili, kwa kuwa katika siku 100 za uongozi wa Rais Magufuli, hawajathubutu wao wenyewe kutoa tathmini ya maeneo yao wanayotawala, wamefanya vizuri kiasi gani.
Ubovu wa hizo barabara walilie walioongoza miaka 50 iliyopitaJapo ukawa wanajisifu kushinda uchaguzi lakini hadi sasa hakuna mabadiliko yoyote.
Nadhani mayor wa kinondoni aachane na majigambo yasiyo na maana badala yake tuone mipango uliyo nayo.
Sijaona manispaa yenye barabara mbovu ukiacha zile za Tanroad kama kinondoni.
Kuna siku nimepita njia ya hospitali ya mwananyamala sitasahau, nilihisi nimepotea njia.
Barabara ni mbovu lakini utakuta kinamama bado wanazifagia na watu wanapiga pesa kama kawaida.
Mr Bonface tunataka kuona vitendo maneno tumesha yazoea.
Hadi sasa naona mnaziba viraka vya lami kwa odongo , kweli ukawa ni jipu.
sio kila barabara inashughlikiwa na Tanroad mkuuUlikuwa unataka Kinondoni ifanane na Hong Kong ndani ya miezi 2?vipi walioko madarakani miaka 50 mbona hawakufanya hivyo isitoshe Ngosha ndio alikuwa Waziri mwenye dhamana hakuiona hiyo bara bara taratibu mkuu au na wewe ulikuwa Mombasa.
Mpe muda Meya wa Ukawa ndio kwanza wameanza kazi subiri bajeti ya Mwaka wa Fedha unaoanza Julai.Japo ukawa wanajisifu kushinda uchaguzi lakini hadi sasa hakuna mabadiliko yoyote.
Nadhani mayor wa kinondoni aachane na majigambo yasiyo na maana badala yake tuone mipango uliyo nayo.
Sijaona manispaa yenye barabara mbovu ukiacha zile za Tanroad kama kinondoni.
Kuna siku nimepita njia ya hospitali ya mwananyamala sitasahau, nilihisi nimepotea njia.
Barabara ni mbovu lakini utakuta kinamama bado wanazifagia na watu wanapiga pesa kama kawaida.
Mr Bonface tunataka kuona vitendo maneno tumesha yazoea.
Hadi sasa naona mnaziba viraka vya lami kwa odongo , kweli ukawa ni jipu.
Mkuu vipi umevurugwa huko ulikokuwa Mombasa.ukawa ni jipu. maneno mengi utendaji 0. eti tumpe muda, mbona porojo kwenye vyombo vya habari anaziweza?
twambie nini kafanya kwa miezi aliyokaa ofisini zaidi ya kunywa chai na kuchakaza vitiHuu ni upuuzi wa hali ya juu mtu hana mwezi ofisini unaongelea project kubwa kama barabara? Inaonekana hujui halmashauri/manispaa zina budget zake na hapa tuko katika mwaka wa budget 15/16,ambapo anatakiwa kumalizia huo kwanza, stupid
Mayor maneno mengi utadhani ni afisa mawasiliano? Tunataka kazi zionekane walau hata mipango, mipasho haina nafasi 2015-2020Na mnaanza kumlaumu meya wa cdm kwa kazi mbovu iliyofanywa na meya wa ccm, subiri miaka ya budget ijayo kama kazi haitafanyika huko ndio mtamjudge mtu, hii ni aibu kupost kitu kama hiki.
Ulitaka awe amefanya nn? Unaijua budget na mipango ya kinondoni 15/16?twambie nini kafanya kwa miezi aliyokaa ofisini zaidi ya kunywa chai na kuchakaza viti
hivi wewe una akili kweli hebu rudia kusoma ulichoandika halafuMbona Magufuli ameingia miezi michache iliyo pita lakini walau kuna mambo kayafanyia kazi.
Huyu mayor zake maneno, lakini hakuna anacho fanya, kwangu bado ni jipu tuu.
Punguza ujinga na kiherehere.Hivi kwa kutokuwa na meya wa jiji ulitegemea vikao na allocations za rasilimali zilizopo zifanyike vipi?Au unafikiri meya anatumia pesa zake mfukoni kutengeneza barabara!barabara hiyo nimetolea mfano, lakini barabara chini ya manispaa ya kinondoni ni mbaya na ukipita sasa ivi utakuta wanaziba mashimo kwa udongo.