Tatizo lenu mnakomaa kutetea upuuzi kesho utasikia mnaandamana .Punguza ujinga na kiherehere.Hivi kwa kutokuwa na meya wa jiji ulitegemea vikao na allocations za rasilimali zilizopo zifanyike vipi?Au unafikiri meya anatumia pesa zake mfukoni kutengeneza barabara!
JE, UNAONAJE UKIFANYA TATHMINI YA MKOA MZIMA WA DSM KULIKO KUANGALIA SEHEMU MOJA????Japo ukawa wanajisifu kushinda uchaguzi lakini hadi sasa hakuna mabadiliko yoyote.
Nadhani mayor wa kinondoni aachane na majigambo yasiyo na maana badala yake tuone mipango uliyo nayo.
Sijaona manispaa yenye barabara mbovu ukiacha zile za Tanroad kama kinondoni.
Kuna siku nimepita njia ya hospitali ya mwananyamala sitasahau, nilihisi nimepotea njia.
Barabara ni mbovu lakini utakuta kinamama bado wanazifagia na watu wanapiga pesa kama kawaida.
Mr Bonface tunataka kuona vitendo maneno tumesha yazoea.
Hadi sasa naona mnaziba viraka vya lami kwa odongo , kweli ukawa ni jipu.
Kinondoni hali ni mbaya zaidiJE, UNAONAJE UKIFANYA TATHMINI YA MKOA MZIMA WA DSM KULIKO KUANGALIA SEHEMU MOJA????
KWANINI USIFANYE TATHMINI UKILINGANISHA NA WALE WALIOPITA MAMBO AMBAYO WAMEFANYA KIPINDUI CHOTE WALICHOKUWA MADARAKANI??
FUNGUKA MKUU
Tumia ubongo kufikiri mkuu acha mhemko.Ulitegemea waanze kwa kufukuza watu na mgambo wa jiji kama mlivyozoea!maana hata bajeti unajua bado na kama ujuavyo nyumba ilikuwa na vibaka hata meza za ofisi huenda wameuza?Najua una machungu kuipoteza Dar city kwa ukawa ila tambua hata simba anapowinda hashiki mkia anakamata koromeo na kubana mishipa inayopeleka damu kichwani mwa huyo aliyekamatwa-hivyo kelele zenu ni kama mateke ya pundamilia aliyelazwa chini na simba kabla ya kufa.Tatizo lenu mnakomaa kutetea upuuzi kesho utasikia mnaandamana .
Kinondoni hali ni mbaya zaidi
Bajeti yao bado haijatoka. Ndio kwanza wameanza, wanaandaa mpango kazi wa kusafisha pale waliposhindwa waliotangulia. Kuwa Na subira bado mapema sana.barabara hiyo nimetolea mfano, lakini barabara chini ya manispaa ya kinondoni ni mbaya na ukipita sasa ivi utakuta wanaziba mashimo kwa udongo.
ana muda gani toka amechaguliwa kuwa meya? Bajeti ngapi zimepita toka awe meya? Kichwani kwako hapako vzr tarajia kuumizwa sana sehemu za siri we dadaJapo ukawa wanajisifu kushinda uchaguzi lakini hadi sasa hakuna mabadiliko yoyote.
Nadhani mayor wa kinondoni aachane na majigambo yasiyo na maana badala yake tuone mipango uliyo nayo.
Sijaona manispaa yenye barabara mbovu ukiacha zile za Tanroad kama kinondoni.
Kuna siku nimepita njia ya hospitali ya mwananyamala sitasahau, nilihisi nimepotea njia.
Barabara ni mbovu lakini utakuta kinamama bado wanazifagia na watu wanapiga pesa kama kawaida.
Mr Bonface tunataka kuona vitendo maneno tumesha yazoea.
Hadi sasa naona mnaziba viraka vya lami kwa odongo , kweli ukawa ni jipu.
Miezi 3 yabutawala ni mingi sana. Waacha waendelee na sherehe za uchaguzi, 2020 msianze kuandamana eti mmeibiwa kura.ana muda gani toka amechaguliwa kuwa meya? Bajeti ngapi zimepita toka awe meya? Kichwani kwako hapako vzr tarajia kuumizwa sana sehemu za siri we dada
elimu bure......Mambo gani aliyofanya yakanigusa mimi "end user?"
Usijitoe ufahamu kwa vitu vya msingi na kuleta ligi zisizo na maana hapa.
By the way, kwani hiyo barabara haimhusu Rais na waziri wake wa ujenzi?!
We jamaa wewe huyo Boniface ana muda gani madarakani? MhJapo ukawa wanajisifu kushinda uchaguzi lakini hadi sasa hakuna mabadiliko yoyote.
Nadhani mayor wa kinondoni aachane na majigambo yasiyo na maana badala yake tuone mipango uliyo nayo.
Sijaona manispaa yenye barabara mbovu ukiacha zile za Tanroad kama kinondoni.
Kuna siku nimepita njia ya hospitali ya mwananyamala sitasahau, nilihisi nimepotea njia.
Barabara ni mbovu lakini utakuta kinamama bado wanazifagia na watu wanapiga pesa kama kawaida.
Mr Bonface tunataka kuona vitendo maneno tumesha yazoea.
Hadi sasa naona mnaziba viraka vya lami kwa odongo , kweli ukawa ni jipu.
Me sio jipu Na sijawahi kuwa jipu Na sitakuwa jipu.Katavi na we unaonekana ni jipu
Wewe ni tabu tupu kama jina lako. Meya ana muda gani madarakani mpaka umuite jipu?Japo ukawa wanajisifu kushinda uchaguzi lakini hadi sasa hakuna mabadiliko yoyote.
Nadhani mayor wa kinondoni aachane na majigambo yasiyo na maana badala yake tuone mipango uliyo nayo.
Sijaona manispaa yenye barabara mbovu ukiacha zile za Tanroad kama kinondoni.
Kuna siku nimepita njia ya hospitali ya mwananyamala sitasahau, nilihisi nimepotea njia.
Barabara ni mbovu lakini utakuta kinamama bado wanazifagia na watu wanapiga pesa kama kawaida.
Mr Bonface tunataka kuona vitendo maneno tumesha yazoea.
Hadi sasa naona mnaziba viraka vya lami kwa odongo , kweli ukawa ni jipu.
kwan aliepita alikaa miaka mingapi madarakan na akaacha barabara mbovu bado?jambo lililoshndwa kufanyika ten years mnataka watu wafanye kwa miezi miwili???achen ushabiki wa kisiasa bhana achen watu wafanye kazi zao kwa uhurubarabara hiyo nimetolea mfano, lakini barabara chini ya manispaa ya kinondoni ni mbaya na ukipita sasa ivi utakuta wanaziba mashimo kwa udongo.
pole sana mkuu so jamaa alikuchapa sana sn skuli?Huyo boniface Jacob tulisoma nae upareni shule inaitwa parane alikuwa mkorofi mbabe mbabe hv mjinga mjinga the kweli eti Leo nae ana akili ya kuongoza watu enzi zile kiongoz wa shule kazi yake ilikuwa kupiga wadogo zake mikanda tu