Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Mkuu siyo chuki, napendekeza wapewe tenda na kule Rombo.Mbona watu mna chuki na Kenya hapa lakini kwenye colgate, blue band, panadol nk mnanunua wenyewe!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu siyo chuki, napendekeza wapewe tenda na kule Rombo.Mbona watu mna chuki na Kenya hapa lakini kwenye colgate, blue band, panadol nk mnanunua wenyewe!?
kazi ya kukusanya kodi za maegesho manispaa ya ILALA ambayo meya wake na naibu meya ni UKAWA imepewa kampuni ya Kenya airports parking service ya kenya ambayo haina usajili Tanzania.Hivi hizi kazi wazawa hawawezi fanya hadi apewe mkenya?
Acha siasa chafu kama wasingekuwa na leseni walipataje vibali...?kazi ya kukusanya kodi za maegesho manispaa ya ILALA ambayo meya wake na naibu meya ni UKAWA imepewa kampuni ya Kenya airports parking service ya kenya ambayo haina usajili Tanzania.Hivi hizi kazi wazawa hawawezi fanya hadi apewe mkenya?
Mkuu YEHODAYA sidhani kama bandiko lako limebeba ukweli.Kampuni ya Kenya haiwezi kupewa tenda iwapo haina usajili Tanzania.Katika kujaza makabrasha ya tenda kuna vipengele kama certificate of incorporation,Licence,VRN & TIN lazima viambatanishwe.Pili mchakato wa kutoa tender kuanzia uchambuzi ufanywa na wataalamu wa Jiji mara nyingi maafisa biashara,wahasibu na kadhalika baada ya hapo hatua ya mwisho upelekwa katika ngazi ya madiwa hasa zile kamati zao husika.
.
Hapo sasa hilo la BRELA ndilo kaa la moto kwa UKAWA.Watatwambia mbivu na mbichi kwenye hilo kuhusiana na hiyo kampuni kusajiliwa BRELA
Mzushi huyu anakwenda kuumbuka kupitia thread hii.Kama haina usajili Tanzania wamepewa vipi? Si ndiyo hao hao wapo Airport pia?
Kampuni zilizoshinda zabuni ona zilivyopangwa kiujanjasasa kama walishinda ulitakaje? si biashara hii? sioni tatizo labda ulikosa wewe au ni mambo ya wivu wa kike.
Mbadala wa "Kampuni kutoka Kenya" ni Mapadri na wachungaji? huu ni ujinga wa kiwango cha lamiUlitaka tenda wapewe mapadri na wachungaji wanaoficha meno ya tembo makanisani ???
Mbona watu mna chuki na Kenya hapa lakini kwenye colgate, blue band, panadol nk mnanunua wenyewe!?
Hivi anayetoa tender ni Meya .....ni utashi wake au ...............Ninauhakika hii habari sio tetesi naibu meya KATAMKA MWENYEWE KIPINDI CHA ASUBUHI RADIO ONE kuwa hiyo kampuni haijasajiliwa BRELA
Wametekeleza ahadi ya Rais magufuli ya kuwataka "Wakenya waje kuwekeza Tanzania hata leo hii"Kazi ya kukusanya kodi za maegesho manispaa ya ILALA ambayo meya wake na naibu meya ni UKAWA wameipa kampuni ya Kenya airports parking service ya kenya ambayo haina usajili Tanzania.Hivi hizi kazi wazawa hawawezi fanya hadi apewe mkenya?
Umemjibu vizuri. Niongeze kuwa sula la tenda ni lakitendaji zaidi na linasimamiwa na idara ya manunuzi ambao ni waajiriwa wa serikali. Hivyo haiwezekani kwa utaratibu wa sheria ya manunuzi ukawa na such a free hand. Ukawa wanajua wanavyowinda hawawezi kufanya such an obvious mistake. Wanaoweza kufanya hivyo ni watu wa chama tawala tu na wanafanya kweli maeneo mengi tu.Mkuu inabidi upanuke katika kufikiri kwako. Kwani kwa mfano, Swissport ni Watanzania? Sijui hata unajua Swissport ni kitu gani na inafanya kazi gani muhimu inayuhusu mabilioni ya fedha hapa nchini.
Hatuwezi tukawa tunaongelea kuongeza ufanisi wa huduma nchini na wakati huo huo tunataka tugawe kazi hata kwa watu wasio na sifa kwa sababu tu ni Watanzania wenzetu. Hiyo mentality ni ile ya wewe ukiwa kabila au dini fulani kuajiri watu wa kabila lako au dini yako tu, hata kama hawana sifa. Hujaona matokeo ya hilo hapa nchini? Muhimu zaidi kutumia soko la East Afrika. Kufikiri kwako kunaweza kusababisha hata huduma za mabasi ya abiria kati ya Dar es salaam na Nairobi ziwe zinaishia Namanga kwa kila upande.
Kampuni za bongo nyingi magumashi, hawana commitment kwenye kazi. Mara nyingi tumezoea wanaoingia kwnye madaraka wanafungua campuni zao then wanazipa izo tender, sasa ukawa mambo ni tofauti. Em acheni arguments zisizo na umuhimu wacha professionals wapige kazi.Kazi ya kukusanya kodi za maegesho manispaa ya ILALA ambayo meya wake na naibu meya ni UKAWA wameipa kampuni ya Kenya airports parking service ya kenya ambayo haina usajili Tanzania.Hivi hizi kazi wazawa hawawezi fanya hadi apewe mkenya?