Tetesi: Meya wa Ilala aipa kampuni ya Kenya kazi ya kukusanya ushuru wa maegesho

Tetesi: Meya wa Ilala aipa kampuni ya Kenya kazi ya kukusanya ushuru wa maegesho

Kampuni za bongo nyingi magumashi, hawana commitment kwenye kazi. Mara nyingi tumezoea wanaoingia kwnye madaraka wanafungua campuni zao then wanazipa izo tender, sasa ukawa mambo ni tofauti. Em acheni arguments zisizo na umuhimu wacha professionals wapige kazi.

Hizo kampuni mbili hiyo ya UBAPA na UPAUKA zina uhusiano na UKAWA au ni kampuni tanzu za UKAWA?

Angalia zote Zinaonekana kama zimeanzishwa karibuni na matamshi yake kama yana uhusiano na UKAWA hivi hebu angalia ukitaka kutamka mfulululizo UKAWA.UBAPA,UPAUKA!!!! Nasikia kama kuna harufu ya panya aliyekufa mahali!! Hebu mnaozijua hizi kampuni mbili za UBAPA na UPAUKA mwageni vitu hapa .Ni za nani hasa,zilianzishwa lini,zina uzoefu gani nk hadi zipewe tenda za kukusanya ushuru wa maegesho Temeke na Kinondoni
 
Kwenye hili niko na mtoa mada. Kuna kazi nyingine ambazao haziitaji utaalamu au teknolojia ya juu ni vyema tukafanya wenyewe ili kukuza uwezo wa kampuni za ndani na pia kuongeza pato la taifa
 
Kazi ya kukusanya kodi za maegesho manispaa ya ILALA ambayo meya wake na naibu meya ni UKAWA wameipa kampuni ya Kenya airports parking service ya kenya ambayo haina usajili Tanzania.Hivi hizi kazi wazawa hawawezi fanya hadi apewe mkenya?

Unaelewa kuwa watu EAC wanaweza fanyakazi katika nchi wanachama bila masharti magumu. Wakenya hao hao ndiyo wanakusanya ushuru pale Dar Airport sijui na DG wa TAA naye ni UKAWA?????
 
Kwani ccm mlipuza wanyama hai kwa ndege ya Qatar sisi wazawa tulishindwa kuwawinda tupate vitoweo?
 
[color= red]THE BIDER WHO IS ABLE TO COLECT THE HIGHEST AMOUNTS TO WIN[/color]
-->>Ability to collect matters<<---
-->>au mlitaka mambo Yale udugu-udugu..?
 
Utakua ni ujinga mkubwa sana ikia kweli hao wamepea tenda ilhali wazawa wapo na wajinga wa kisiasa wanapongeza ujinga
Tenda lazima uwape kipaumbele wazawa sio wageni
 
Back
Top Bottom