Pre GE2025 Meya wa jiji la Mbeya: Kila mtanzania anatamani Dkt. Tulia awe mbunge wa jimbo lake, Mbeya mkikataa aendelee atagombea jimbo lolote atashinda

Pre GE2025 Meya wa jiji la Mbeya: Kila mtanzania anatamani Dkt. Tulia awe mbunge wa jimbo lake, Mbeya mkikataa aendelee atagombea jimbo lolote atashinda

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Mstahiki Meya wa Halmashauri ya jiji la Mbeya Dormohamed Issa amesema Dkt. Tulia Akson Mwansasu ni mbunge wa kipekee ambaye kila mtanzania anatamani awe mbunge wa jimbo lake na hata Mbeya wakikataa aendelee kuwa mbunge wao ataenda kugombea sehemu nyingine yoyote na kuendelea kuwa mbunge.

kikao
 
Mstahiki Meya wa Halmashauri ya jiji la Mbeya Dormohamed Issa amesema Dkt. Tulia Akson Mwansasu ni mbunge wa kipekee ambaye kila mtanzania anatamani awe mbunge wa jimbo lake na hata Mbeya wakikataa aendelee kuwa mbunge wao ataenda kugombea sehemu nyingine yoyote na kuendelea kuwa mbunge.

View attachment 3219653kikao
Chawa chawanian chawaism
 
Mstahiki Meya wa Halmashauri ya jiji la Mbeya Dormohamed Issa amesema Dkt. Tulia Akson Mwansasu ni mbunge wa kipekee ambaye kila mtanzania anatamani awe mbunge wa jimbo lake na hata Mbeya wakikataa aendelee kuwa mbunge wao ataenda kugombea sehemu nyingine yoyote na kuendelea kuwa mbunge.

View attachment 3219653kikao
Duh,
Machawa kwa kudanganyana yapo vizuri.

Ikifika wakati wa uchaguzi wanaingia mzigoni kuteka, kubambikizia wananchi kesi za uongo, kuua na kuiba kura ili kushinda kwa haram
 
Mstahiki Meya wa Halmashauri ya jiji la Mbeya Dormohamed Issa amesema Dkt. Tulia Akson Mwansasu ni mbunge wa kipekee ambaye kila mtanzania anatamani awe mbunge wa jimbo lake na hata Mbeya wakikataa aendelee kuwa mbunge wao ataenda kugombea sehemu nyingine yoyote na kuendelea kuwa mbunge.

View attachment 3219653kikao
Bilabrushwa Tulia hakubaliki kabisa Mbeya
 
Mstahiki Meya wa Halmashauri ya jiji la Mbeya Dormohamed Issa amesema Dkt. Tulia Akson Mwansasu ni mbunge wa kipekee ambaye kila mtanzania anatamani awe mbunge wa jimbo lake na hata Mbeya wakikataa aendelee kuwa mbunge wao ataenda kugombea sehemu nyingine yoyote na kuendelea kuwa mbunge.

View attachment 3219653kikao
Kama kweli anaamini akigombea jimbo lolote atashinda, basi afanye hivyo.
 
Mstahiki Meya wa Halmashauri ya jiji la Mbeya Dormohamed Issa amesema Dkt. Tulia Akson Mwansasu ni mbunge wa kipekee ambaye kila mtanzania anatamani awe mbunge wa jimbo lake na hata Mbeya wakikataa aendelee kuwa mbunge wao ataenda kugombea sehemu nyingine yoyote na kuendelea kuwa mbunge.

View attachment 3219653kikao
Huyo atakuwa na laana au ni punguani.

Ni lini alifanya utafiti akagundua kuwa watanzania wote wanamtaka msaliti Tulia awe mbunge wao?? Uchawa kweli humwondolea mtu akili, hata kama alikuwa nazo kudogo!!

Baadhi yetu hatumtaki kabisa huyo msaliti Tulia kuwa hata kiongozi wa Serikali ya mtaa. Mtu mnafiki na mwongo kama Tulia, nani mwenye akili amtake kuwa mwakilishi wake?

Huyu ndiye alisema kuwa hakuna watu wanaotekwa.

Huyu ndiye miongoni mwa wahusika wakuu kwenye mradi wa kuwagawia DPW bandari zetu zote na kuidhinisha mkataba wa kishenzi kabisa ambao haujawahi kwepo mahali popote Duniani.

WanaMbeya mtakuwa mmefanya jambo la maana sana mkituongolea huyo msaliti wa nchi yetu. Kama anataka ubunge, akagombee Zanzibar maana huko atawaeleza jinsi alivyoshiriki kuzilinda bandari za Zanzibar zisiingie kwenye mkataba wa kitumwa kama ule wa Tanganyika na DPW.
 
Mstahiki Meya wa Halmashauri ya jiji la Mbeya Dormohamed Issa amesema Dkt. Tulia Akson Mwansasu ni mbunge wa kipekee ambaye kila mtanzania anatamani awe mbunge wa jimbo lake na hata Mbeya wakikataa aendelee kuwa mbunge wao ataenda kugombea sehemu nyingine yoyote na kuendelea kuwa mbunge.

View attachment 3219653kikao
Umkatae Tulia umchague poyoyo gani tena?
 
Back
Top Bottom