Meya wa Jiji la Mwanza, Sima Constantini Sima ajitathmini kama anastahili kuwa kiongozi wa Jiji la Mwanza

Meya wa Jiji la Mwanza, Sima Constantini Sima ajitathmini kama anastahili kuwa kiongozi wa Jiji la Mwanza

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Nadhani Meya ajitathmini kama ana uwezo wa kuisimamia halmashauri ya Jiji kama madudu yote yanafanyika mbele ya macho yake.

Inafikia mpaka Rais, Mkuu wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya, Mawaziri wanaingilia kati.

Meya ni kama Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi, kwa maana ni kiongozi wa madiwani. Ameshindwa kumsimamia Mkurugenzi, ameshindwa kusimamia Halmashauri. Ni vyema Sasa ajitathmini au chama kimtathmini kama anatosha.
 
Nadhani Meya ajitathmini kama ana uwezo wa kuisimamia halmashauri ya Jiji kama madudu yote yanafanyika mbele ya macho yake.

Inafikia mpaka Rais, Mkuu wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya, Mawaziri wanaingioia kati.

Meya ni kama Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi, kwa maana ni kiongozi wa madiwani. Ameshindwa kumsimamia Mkurugenzi, ameshindwa kusimamia Halmashauri. Ni vyema Sasa ajitathmini au chama kimtathmini kama anatosha
Siyo ajithamini,mpigeni chini
 
Ulitaka amchape viboko????? Punguza shobo....TUTAMCHAGUA TENA
 
Meya yule kiazi anataka kugombea ubunge na yeye 2025
 
Back
Top Bottom