Meya wa Kinondoni atangaza kupotea kwa Diwani wa Kawe ambaye inasemekana amefichwa

Meya wa Kinondoni atangaza kupotea kwa Diwani wa Kawe ambaye inasemekana amefichwa

Kijana upo mjini gani

Mbona wengine tuko chaka lakini mambo yenu yote ya mjini yapo kiganjani!
Aise kweli maana nasikia jamaa haonekani,kwenye vikao,haonekani nyumbani,haonekani shuleni
Anyway nasikia alikuwa kwenye mahusiano na dem A.M(code)hiyoo
Hebu zungukieni kwenye malodge tbt etc
Kwani matatizo yake hamyajui nyie

Ova
Mwamba ulikuwa unajua ila ukamute kwakutoa code TU
 
Hata km humjui Mungu!! ...hivi?? Rwakatare anawezaje husisha Mungu wa kweli na kafara bila kuumbuka?? kweli??.....au weye unaandika hapa kutokea kuzimu?? tumekustukia weye ujue??

kuwa weye ni mwenyeji wa kuzimu!! km siyo kweli basi dhihirisha hapa makafara hayo aliyo fanya Mama Rwakatare tuyajue! Wapi? nani? Lini? na ilikuwaje zaidi ya hapo wewe ni motoni moja kwa moja!! subiri uone!......

au Lah! mlikuwa wote akakupiga kibuti sasa leo umetoa siri...kwa sababu km hayo makafara yataitesa Familia si wao?? weye una umia na nin?? pilipili iso kuwa shambani kwako yakuwashia nini??...ni wazi ulikosa mgawo wa chochote sasa unapiga kelele humu!!!

Kama weye Makafara ya shetani yamekukataa sasa unaonea wivu wengine???...... fikiria tu hata shetani hakutaki!! kwa Mungu hakutaki umebakia kulalama tu!! afadhari yeye Mashtani yalimkubali kapeta mnoo mpka Bungeni!!

km haitoshi hayo Makafara yake basi ni mazuri mnoo!! kwakuwa yamejenga shule zake nyiiingi humo nchini TZ, wangapi wamesoma kupitia makafara ya huyo Mama?? Basi Jua anafaa sana kuliko weye mfu,

Hongera Mama Lwakatare, na siku ya hukumu tutakutetea na kukuombea Msamaha kwa nguvu zooote!! hakika tutanadamana kwa kazi zako nzuri kuwa ulikuwa njia sahihi na shujaa waa ukombozi wa Elimu ya mutu mweusi ......

na wewe kurunzi la wachawi nenda kafanye upembuzi utuletee shule nchi nzima! km ni rahisi ivo!! Nyambaf!! mijitu ya mbagala wivu tuuuu!!....... hata hayajifichi!! Mimasikini sijui yakoje haya!!

kwanza hata Mungu hayatambui! haya! ..kwa Mungu tutaenda matajiri kwa sana tu hata yeye ni tajiri! Maskini takataka nyie mtakuwa kuni tuu! za kuchoma wenye dhambi!!...siku ya mwisho mtashangaa wenzenu wanarudi kutoka paradisio wamejaa upako!

Nyie mtakuwa bado mnapanga foleni za vihepe hapo kwenye Madimbwi ya Rangi tatu!! sikutanii litunze tu hili bandiko langu uone maajabu ! km unabisha tunza bandiko langu hili mpaka siku ya mwisho ndo uttaamini maneno yangu1!

Usijidanganye kuwa eti utatubu!!!! kuna dhambi nyingine hazi sameheki......umefikia mahali pabaya mpaka unafanya mambo ya dhihaka na kumhusisha Roho Mtakatifu na Mashetani hii dhambi huchomokimo!....na dhambi nyingine hazi subiri...

ziko mle mle ndani ya kitendo chenyewe..........hujui mapepo menzako yalimtii?
😂😂😂😂mkuu sio kwa povu hili...usidharau mwandishi mwenzio..waswahili twasema usilolijua ni kama usiku wa Jua...kule shambani kwake moro unajua yaliokuwa yanajiri....😎😎😎
 
Mama Rwalatare alipata mali kwa nia ya kupreempty waumini wake na makafarayamehusika sana, hizo mali zitaitesa hii familia mpaka basi
Karma on move, bado majumba, shule wanagombania yote yataisha tu maana watoto wake akili zero kabisa 💯.
 
Kijana upo mjini gani

Mbona wengine tuko chaka lakini mambo yenu yote ya mjini yapo kiganjani!
Aise kweli maana nasikia jamaa haonekani,kwenye vikao,haonekani nyumbani,haonekani shuleni
Anyway nasikia alikuwa kwenye mahusiano na dem A.M(code)hiyoo
Hebu zungukieni kwenye malodge tbt etc
Kwani matatizo yake hamyajui nyie

Ova
Umetisherrrr
 
usidharau mwandishi mwenzio..waswahili twasema usilolijua ni kama usiku wa Jua...kule shambani kwake moro unajua yaliokuwa yanajiri....😎😎😎
Dharau ziko wapi hapo Mkuu hiyo ndo fact yenyewe!!....km kuna yaliyo tokea shambani!! huko ni shambani!! kwani mtu wa Mungu hawezi jaribiwa?? walijaribiwa sana , wanajaribiwa na wata jaribiwa ...

Matisho mliyo yaona shambani kwake ni kwa sababu ya Mashetani yenu mliyobeba ndo yalikuwa yanawaonyesha mauza uza ili msiokoke!.....hii ilikuwepo hata kwa Yesu !! Baadhi ya watu wa kawaida na Mafarisyo wengi walimdhania Yesu ni Mchawi!...

Mpaka leo hii napoongea na weye kuna watu wengi hawa muamini Yesu, sembuse mama Rwakataere?. wengine wanasema alikuwa mwizi wa mbao!! kwa hilo halina ubishi!!..........

Pia kule shambani kwa Mama Rwakatale Lushoto niliwahi fika nikamuona yeye binafsi yuko juu ya fisi kabisaaa!! lkn kwa kuwa nilijaa upako nikakemea hapo hapo nikafunguliwa Meeengi usiyoyajua!!!

km weye mchawi ni Lazima umuone Mchungaji mkubwa sana kuwa ni mchawi pia km weye!!.......ndo maana wachawi wanazidisha mapambano na watu halisi wa Mungu ....sasa km wewe unanitisha na uliyo yaona shambani kwake!!

Nasema hapa huniwezi njoo kivingine! mauza uza hayo ya kuwa ona wachungaji ktk anga za kichawi ni mengi mnooo Duniani!!..mie nilikuwa mchwi fika pia ndo maana nakwambia ivo! ukibisha muulize Mshana Jr!, Nyarusare! Eclat au muheshimiwa yule wa kigoma!

Kifupi tuko weeengi humu lkn kwa majina tofauti tofauti ...Mfano wapili Baayesu alimwambia mtume Paul ampe uwezo wa kichawi aliokuwa nao Mtume Paul!!.....hapo nakuonyesha tu kwamba hata mitume walio tembea na Yesu wachawi waliwaona wachawi!!

......sasa lete incidence uliyo iona ufunguliwe hapo shambani kwake hapa ili nikupe maelezo ya ulichokiona na jinsi ya kufanya uone maajabu vinginevyo kinyume na hapo weye bado una majungu ya kitoto!
 
Meya wa Manispaa ya Kinondoni mh Songoro ameliomba Jeshi la Polisi na vyombo vya habari kuwasaidia kumtafuta Diwani wa Kawe ambaye hajulikani alipo.

Songoro amesema mheshimiwa Lwakatare hajahudhuria vikao kwa muda mrefu na hata chama hakijui alipo

Fununu zinadai Lwakatare amefichwa mahali fulani ambako bado hawajapajua amesema Songoro

Chanzo: www.channel ten

Pia soma;

Thread 'Diwani wa Kawe aliyetoweka tangu Februari akutwa Tabata kwa Mwanamke' Diwani wa Kawe aliyetoweka tangu Februari akutwa Tabata kwa Mwanamke
Diwani mlevi anakula pesa za urithi meya wake anaona wivu,amuache ale maisha
 
Meya wa Manispaa ya Kinondoni mh Songoro ameliomba Jeshi la Polisi na vyombo vya habari kuwasaidia kumtafuta Diwani wa Kawe ambaye hajulikani alipo.

Songoro amesema mheshimiwa Lwakatare hajahudhuria vikao kwa muda mrefu na hata chama hakijui alipo

Fununu zinadai Lwakatare amefichwa mahali fulani ambako bado hawajapajua amesema Songoro

Chanzo: www.channel ten

Pia soma;

Thread 'Diwani wa Kawe aliyetoweka tangu Februari akutwa Tabata kwa Mwanamke' Diwani wa Kawe aliyetoweka tangu Februari akutwa Tabata kwa Mwanamke
Daah , mwendazake Mungu anamuona jinsi alivyotuletea viongozi Wa mchongo Nchi hi!!
 
Dharau ziko wapi hapo Mkuu hiyo ndo fact yenyewe!!....km kuna yaliyo tokea shambani!! huko ni shambani!! kwani mtu wa Mungu hawezi jaribiwa?? walijaribiwa sana , wanajaribiwa na wata jaribiwa ...

Matisho mliyo yaona shambani kwake ni kwa sababu ya Mashetani yenu mliyobeba ndo yalikuwa yanawaonyesha mauza uza ili msiokoke!.....hii ilikuwepo hata kwa Yesu !! Baadhi ya watu wa kawaida na Mafarisyo wengi walimdhania Yesu ni Mchawi!...

Mpaka leo hii napoongea na weye kuna watu wengi hawa muamini Yesu, sembuse mama Rwakataere?. wengine wanasema alikuwa mwizi wa mbao!! kwa hilo halina ubishi!!..........

Pia kule shambani kwa Mama Rwakatale Lushoto niliwahi fika nikamuona yeye binafsi yuko juu ya fisi kabisaaa!! lkn kwa kuwa nilijaa upako nikakemea hapo hapo nikafunguliwa Meeengi usiyoyajua!!!

km weye mchawi ni Lazima umuone Mchungaji mkubwa sana kuwa ni mchawi pia km weye!!.......ndo maana wachawi wanazidisha mapambano na watu halisi wa Mungu ....sasa km wewe unanitisha na uliyo yaona shambani kwake!!

Nasema hapa huniwezi njoo kivingine! mauza uza hayo ya kuwa ona wachungaji ktk anga za kichawi ni mengi mnooo Duniani!!..mie nilikuwa mchwi fika pia ndo maana nakwambia ivo! ukibisha muulize Mshana Jr!, Nyarusare! Eclat au muheshimiwa yule wa kigoma!

Kifupi tuko weeengi humu lkn kwa majina tofauti tofauti ...Mfano wapili Baayesu alimwambia mtume Paul ampe uwezo wa kichawi aliokuwa nao Mtume Paul!!.....hapo nakuonyesha tu kwamba hata mitume walio tembea na Yesu wachawi waliwaona wachawi!!

......sasa lete incidence uliyo iona ufunguliwe hapo shambani kwake hapa ili nikupe maelezo ya ulichokiona na jinsi ya kufanya uone maajabu vinginevyo kinyume na hapo weye bado una majungu ya kitoto!
Nilidhani unajua..eti shamba lushoto😂😂😂.......muda utaongea..na itajulikana msingi wa madhabahu unayoiamini ni Jehova au yule aliekuwa Shambani....kweli Paulo alisena..akili zao zimetiwa giza.....ndo wewe siku ukipata neema ya kuona kweli..utaamka na kujilaumu. Sibishani na vipofu!
 
Nilidhani unajua..eti shamba lushoto😂😂😂.......muda utaongea..na itajulikana msingi wa madhabahu unayoiamini ni Jehova au yule aliekuwa Shambani....kweli Paulo alisena..akili zao zimetiwa giza.....ndo wewe siku ukipata neema ya kuona kweli..utaamka na kujilaumu. Sibishani na vipofu!
Kumbeee! unabishana??? sikia sasa mie! Nakuelimisha jinsi ya kufikiri....sibishani na weye! kaanze soma tena upya drsani !..ujue maana ya hoja tunduizi!...siyo unaropoka tuu hovyo!...mapepo yako hayo yatakusumbua sana..tubu!
 
itajulikana msingi wa madhabahu unayoiamini ni Jehova
wey muongo kamwe huwezi changanya Nuru na Giza!! lazima kimoja kiondoke tu!! havitangamani ndo maana nasema hujasoma shule ikakuingia barabara, ulibabaisha tu!! kwa kuibia mitihani! mnajulikana kirahisi mnooo!

Alipo sema ''huwezi kuwatumikia Mabwana wawili'' alikuwa hata nii!! kizazi cha nyoka hamuelewi !! .....sasa weye hii yako ina maana kuwa mchungajio Rwakatale alitumikia Mabwana wawili miaka yote hiyo ya utumishi wake na akawa salama/tajiri???

acha utani bana au naongea na mlevi......
 
Kijana upo mjini gani

Mbona wengine tuko chaka lakini mambo yenu yote ya mjini yapo kiganjani!
Aise kweli maana nasikia jamaa haonekani,kwenye vikao,haonekani nyumbani,haonekani shuleni
Anyway nasikia alikuwa kwenye mahusiano na dem A.M(code)hiyoo
Hebu zungukieni kwenye malodge tbt etc
Kwani matatizo yake hamyajui nyie

Ova
A.M
 
Back
Top Bottom