Meya wa Moshi kuingia darasani kufundisha wanafunzi na kumsifia Rais Samia mbele ya wanafunzi ni sahihi?

Hivi ni "introduction to biology" au "introduction of biology"?

The former inakukalibisha katika ulimwengu wa Biology and the later inakupa utangulizi kuhusu Biology
 
Huyu mwanasiasa anafundisha utopolo kwa watoto . Halafu magenius wa Kaizirege ( KEMEBOS ) wakipata single digits darasa zima kwenye matokeo ya necta wanasema wameiba mitihani .
 
Aache kupotosha watoto sasa ameandika nn hapo ubaoni.
 
Hiyo suti mpka itapauka yani kibaka nimemuona nayo sio chini ya mara 4..
 
Sasa kuna shida gani ukimsifia Rais wako? Au siku hizi kumsifia Rais ni kuvunja sheria?

We jamaa una nongwa 😄😋
 
Hivi ni "introduction to biology" au "introduction of biology"?

Njia rahisi ya kutukama sisi ambao si native speaker wa kiingereza, ni hapo kwenye matumizi ya the, a, an, to, for, at na mengine mengi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…