Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Mkiendelea kukata huku na huku October is on the door!5.4.3 Kuachishwa ama kufukuzwa na tawi lake ama ngazi nyingine ya Chama, kwa mujibu wa Katiba kwa kukosa sifa za kuendelea kuwa mwanachama ama kuwa na mwenendo usioendana na Itikadi, Falsafa, Madhumuni, Kanuni, Maadili na Sera za Chama. Mwanachama atakuwa na haki ya kukata rufaa kwa ngazi ya juu kama hakuridhika na adhabu hiyo.
Hii ndiyo Ibara ya kufukuza mwanachama uanachama. Hao hiyo Ibara ya 10.1 (x) wameitoa kwenye katiba ipi na inasemaje?
Nimejaribu kutafuta kwenye Katiba ya CHADEMA hivyo vifungu sijaviona. Au Katiba gani ya CHADEMA imetumika?
Usishangae ndugu yangu, baadhi ya Watanzania akili zao ziko kwenye lockdown!Umeona nimeuliza maswali mawili ya msingi?
1 Tataribu zote zimefuatwa kwenye kumfukuza Boniface?
2. Uharaka wa kupeleka hiyo barua kwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo unatokana na nini?
Kuna mahali nimesema hajafukuzwa? Alifukuzwa kwa kufuata taratibu?
Nawe unakuwa kama boya! Hapo CCM wanahusika wapi. Jadili upuuzi wa kiuongozi ndani ya CHADEMA. Ndo tatizo la kuwa na kiongozi wa kitaifa anayejifaragua sana bila kupima matokeo ya vurugu hizo. Kinachofuata ni kila aliye na nafasi kumkoromea mwenzake.Kama ni kweli hapa kinachoonekana ni kwamba CCM wanataka kumpoka Umeya Boniface. Halafu kama vikao hakuna maana yake hicho kilichofanyika kilifanyika katika utaratibu upi?
Kitakachotokea ni kwamba Kamati Kuu ya CHADEMA itazuiliwa kufanya kikao kutengua maamuzi hayo. Mbio mbio za kupeleka hiyo barua ya kumfukuza uanachama Boniface kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo zinatokana na nini?
Ana weweseka muache [emoji1787][emoji23][emoji2960]NAwe unakuwa kama boya! HApo CCM wanahusika wapi. JAdili upuuzi wa kiuongozi ndani ya CHADEMA. Ndo tatizo la kuwa na kiongozi wa kitaifa anayejifaragua sana bila kupima matokeo ya vurugu hizo. Kinachofuata ni kila aliye na nafasi kumkoromea mwenzake.
Hii sentensi inakuonesha jinsi ulivyo!!NAwe unakuwa kama boya!
Bashite mzee wa msambwanda naona usheherekea kijuhajuha tuThe best news of the day ! Thank you!
Anakiburi sana Jacob acha afukuzwe tu. Aende akaendelee kuwa mlinzi wa Mbowe!Kuna barua zinasambaa zikidai Mayor Jacob amefukuzwa uanachama CHADEMA na hivyo kuvuliwa umeya.
JamiiForums imemtafuta Meya Jacob ambaye amesema barua ya kufukuzwa kwake imechongwa na hata Katibu anayedaiwa kuandika barua ya kufukuzwa kwake hajaandika barua hiyo.
Ameshangaa kuona barua Mkurugenzi ikifanya marejeo ya barua ambayo haijatoka ndani ya chama chake (CHADEMA).
Zaidi, tutawajuza
========
Barua zinazosambaa ni hizi:
View attachment 1437817
View attachment 1437818
Tulia unataka nini?au Moderator mnatumika? hata nyinyi mnaleta tetesi?
Sasa kama anaitwa hataki hata kupeleka utetezi hataki? Unategemea wafanyeje uongozi wa Kata? Yeye anamheshimu Mbowe hajui kuwa uanachama wake uko mikononi mwa kata? Sasa atakula mavi yake!Umeona nimeuliza maswali mawili ya msingi?
1 Tataribu zote zimefuatwa kwenye kumfukuza Boniface?
2. Uharaka wa kupeleka hiyo barua kwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo unatokana na nini?
Mtajuana wenyewe mwambie hana kinua mgongo tena kapigwa ya kichwa!Hiyo barua ina makosa mengi sana ya kisheria. Mojawapo ni kutaja ibara ambayo haimo kwenye Katiba ya CHADEMA. Ibara za Katiba ya CHADEMA zimeishia Ibara ya 9.7 ambayo imo kwenye sura ya Tisa ya Katiba!!
Katiba ya CHADEMA haina Ibara kumi.