Meya wa Ubungo, Boniface Jacob adaiwa kufukuzwa uanachama CHADEMA. Aandikiwa barua ya kuvuliwa umeya... Yeye aongea

Nyie kila kitu ili mlipwe ni lazima mumtaje Mbowe? Anawajibika kwa kata kwenye kila jambo hata la kipuuzi? Hivi kanuni zoote zimefuatwa kwenye kumfukuza huo uanachama?

Nawaza tu kwa sauti hivi hawa kijani wenzangu huwa wanajisikiaje pale anapoweka chakula mezani au anapoagiza bia kwa buku saba ya unafiki, huwa inashuka kwa raha mustarehe kama wanaokunywa kwa jasho lao?
 
Ninachokiona mimi, hali ya maambukizi ya corona jijini darisalama imepungua sana kama sio kwisha kabisa na watu wameanza kurudi kazini kwa kishindo. Kila la kheri kwa kweli wanadarisalama. Chapeni kazi.
 
Hahaaa na bado..... Allen mtaisoma habari Kamili end of 2020, mlimpa laana zisizo na sababu! Matokeo yake zimewarudia ninyi. Kila aliyefungua kinywa kwa ubaya amehaibika.....
I am enjoying the game! Kwisha habari Yenu!
Jamaa una roho mbaya sana. Sijui unaabudu Wapi kwa kweli. Yaani unavyofurahia, duh!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona aliahidi hatogombea, kwanini wasingemvumilia tu mpk juni 30?. Au ni mkakati wa kuunga juhudi kwa kuondoka kwa gia hii.
Kinachozunguuka akilini mwangu ni hiki. Huwnda chama tawala kinakitu huwa wanafanya katika nafasi hizo Kipindi cha kukaribia uchaguzi au hii ni mbinu Mpya ya CCM ya sasa. Maana hila vitimbi za kuwaondoa mameya imekuwa kubwa na ya kutia aibu.
Tutaona mengi mwaka huu. Naomba Mungu wapinzani waendelee kuwa wavumilivu tufike salama.
 
Hiyo barua ina makosa mengi sana ya kisheria. Mojawapo ni kutaja ibara ambayo haimo kwenye Katiba ya CHADEMA. Ibara za Katiba ya CHADEMA zimeishia Ibara ya 9.7 ambayo imo kwenye sura ya Tisa ya Katiba!!

Katiba ya CHADEMA haina Ibara kumi.
bora ingeletwa na member tu,imeleta na uongozi
 
Meya ni wa chadema kafukuzwa na chadema barua imeandikwa na viongozi wa chadema unaposema ni hila za CCM napata ukakasi na fikra zako kama unawaza kwa kutumia kichwa
 
Kamati tendaji ya Kata inayo mamlaka ya kumvua uanachama Mwanachama?

Inaonesha wewe una jambo binafsi na Mbowe maana kila baada ya sentensi moja unamtaja Mbowe!!
Kwani mimi Mbowe ananisaidia nini? Labda wewe naona huwa unaenda kupata viruzuku kidogo. Mimi hana maana kwangu hata chembe!
 
Mkurugenzi wa manispaa ya Ubungo akithibitisha kupokea barua kutoka chademu ya kumtimua uanachama Boniface Jacob.
 
Reactions: mmh
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…