Meya wa Ubungo, Boniface Jacob adaiwa kufukuzwa uanachama CHADEMA. Aandikiwa barua ya kuvuliwa umeya... Yeye aongea

Meya wa Ubungo, Boniface Jacob adaiwa kufukuzwa uanachama CHADEMA. Aandikiwa barua ya kuvuliwa umeya... Yeye aongea

Tunaacha kupambana na janga la corona tunahangaika na vyeo ambavyo ni vya muda tuu. Hivi hamuoni wenye vyeo na wasio navyo wanavyo anguka jamani
 
Tunaacha kupambana na janga la corona tunahangaika na vyeo ambavyo ni vya muda tuu. Hivi hamuoni wenye vyeo na wasio navyo wanavyo anguka jamani
 
Hahaha .........maccm mazwazwa sn km mkuu wao.......
WANAHOFIA NN HASA? UMEONA SASA YAMEANZA KUUMBUKA MAMBWA HAYA
 
Achana nao mbwa hawa wanawaza posho hungeni na buku 7 lumumba. Sijawahi kuona mwanaccm natetea mtz wote wanatetea serikali na vyeo vyao
 
Kuna barua zinasambaa zikidai Mayor Jacob amefukuzwa uanachama CHADEMA na hivyo kuvuliwa umeya.

JamiiForums imemtafuta Meya Jacob ambaye amesema barua ya kufukuzwa kwake imechongwa na hata Katibu anayedaiwa kuandika barua ya kufukuzwa kwake hajaandika barua hiyo.

Ameshangaa kuona barua Mkurugenzi ikifanya marejeo ya barua ambayo haijatoka ndani ya chama chake (CHADEMA).

View attachment 1437931



View attachment 1437937

=======
Barua zinazosambaa ni hizi:

View attachment 1437817
View attachment 1437818
inasikitisha sana! yote ni kwa sababu tumekuwa wavivu mno wa kuchukua hatua! sisi letu ni domo tu na ndio maana wanajiamini mno kufanya matendo kama haya!
 
Kwa unene ule kweli mwaka huu anaweza kupiga "Push Up"
Yaani jamaa kawekeza kwenye kunenepa tu,

Pale hata stendi ya ubungo kashindwa kuikarabati, mvua ikinyesha maji yanajaa mule, kuchafu balaa.
 
Madaraka ni matamu aisee, jamaa wananenepa tu, ila wananchi hali inabakia vile vile.
Hahahaha ndio maana wameamua kufia bungeni wasikose Posho!
 

Attachments

  • IMG-20200502-WA0002.jpg
    IMG-20200502-WA0002.jpg
    14.7 KB · Views: 1
  • IMG-20200501-WA0086.jpg
    IMG-20200501-WA0086.jpg
    145 KB · Views: 1
  • IMG-20200501-WA0087.jpg
    IMG-20200501-WA0087.jpg
    98.6 KB · Views: 1
Kama ni kweli hapa kinachoonekana ni kwamba CCM wanataka kumpoka Umeya Boniface. Halafu kama vikao hakuna maana yake hicho kilichofanyika kilifanyika katika utaratibu upi?

Kitakachotokea ni kwamba Kamati Kuu ya CHADEMA itazuiliwa kufanya kikao kutengua maamuzi hayo. Mbio mbio za kupeleka hiyo barua ya kumfukuza uanachama Boniface kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo zinatokana na nini?
Duh siasa za nchi hii ngumu sana hasa kwa kipind hiki kama taifa na wanasiasa hasa wa upinzan wanapitia majarib sana

Its not over until its over...[emoji769]
 
Back
Top Bottom